gor mahia

  1. ngara23

    Yanga kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia tarehe 22 February

    Mchezo huu utakuwa wa uzinduzi wa uwanja wa Jaramogi Oginga Odinga, ambao ulikuwa ulikuwa ukihairishwa mara kwa mara mara kutokana na Yanga Kuwa na mchezo minginya CAFCL Mashabiki wa Kenya wameusubiria mchezo huu Kwa hamu, na uuzaji wa ticket tukianza uwanja utajaa siku hiyo Yanga ndo timu...
  2. Teko Modise

    FT: Gor Mahia 0-3 Al Ahly | CAF Champions League Qualification | Nyayo National Stadium | 15.09.2024

    Ni kipindi cha kwanza, Gor Mahia yupo nyumbani mpaka sasa ameshalowa goli mbili, game ni tamu ipo mubashara Azam sports 2HD
  3. R

    Gor Mahia FC Vs Al Ahly FC : CAFCL | Football Torturing.

    Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan. Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi. Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly. Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona...
  4. Its Pancho

    Simba imerudi shimoni ilikokuwa, haina tofauti na Gor Mahia

    Wakuu, Hii team yetu bwana siku zinavyosogea imekuwa jalala. Wenzetu Yanga bajeti yao wameiweka 24 billion sisi eti tukapandisha pia. Ni nini kama sio kutuona mazumbukuku? Pili inakuwaje mchezaji analalamika hapangwi bila sababu za msingi? Yaani kiongozi anakuja na karatasi ina list tayari...
  5. JanguKamaJangu

    Kenya: Mechi ya Gor Mahia Vs Azam FC yaahirishwa kutokana na vurugu za kisiasa

    Gor Mahia vs Azam SC friendly match scheduled for Sunday 26th March has been called off due to prevailing political uncertainties.
  6. Tate Mkuu

    Yanga SC, pale Kenya (Gor Mahia) kuna kijana mdogo tu wa miaka 21 anaitwa Benson Omala

    Ingekuwa poa sana kama mngefuatilia mwenendo wake. Maana katika michezo 19 ya Ligi yao pale Kenya mpaka sasa, tayari ameshatupia goli 19!! What a striker katika umri wake huo wa miaka 21 tu!! Dogo ana nguvu, anafunga kwa miguu yote!! Imagine ameanza kucheza ligi kuu akiwa bado ni mwanafunzi wa...
  7. OKW BOBAN SUNZU

    Aibu: Yanga yakopi jezi za Plateau Utd kama zilivyo

  8. osib

    Ni timu gani Kenya yenye udhamini mnono zaid wa fedha? Je, ni giant Gor Mahia au wababe AFC leopard?

    Habari zenu wakubwa, Kwasasa soka la Africa mashariki linainuka kwa kasi sana angalau sasa wadhamin wanaweka pesa ya maana. Mfano kwa hapa Tz giant Yanga kaingia mkataba mnono na kampuni ya Azam media kwa engagement ya kurusha shughuli za yanga like mazoezi Mahojiano ya wachezaji wa Yanga...
  9. M

    GOR MAHIA EYE SIMBA SC’S MATOLA AS OLIVEIRA SUCCESSOR

    Simba SC assistant head coach Selemani Matola has been reportedly linked with a move to Football Kenya Federation Premier League side Gor Mahia. Gor Mahia have been without a coach since Roberto Oliveira left last week after Caf and the FKF stated he was not eligible to oversee K’Ogalo in...
Back
Top Bottom