The Grammy Awards (stylized as GRAMMY), or simply known as the Grammys, are awards presented by the Recording Academy of the United States to recognize "outstanding" achievements in the music industry. They are regarded by many as the most prestigious, significant awards in the music industry worldwide. It was originally called the Gramophone Awards, as the trophy depicts a gilded gramophone. The Grammys are the first of the Big Three networks' major music awards held annually, and is considered one of the four major annual American entertainment awards, alongside the Academy Awards (for films), the Emmy Awards (for television), and the Tony Awards (for theater). The first Grammy Awards ceremony was held on May 4, 1959, to honor the musical accomplishments of performers for the year 1958. After the 2011 ceremony, the Recording Academy overhauled many Grammy Award categories for 2012.
Wakuu,
Hivi karibuni Rais William Ruto amedokeza kuwa kuwa serikali ya Kenya tayari imelipa Tshs Milioni 500 Kenya iweze kuwa mwenyeji wa tuzo za Grammys mwaka 2027.
Akizungumza wakati wa mkutano wa Townhall Jumatatu usiku, Ruto alisema kuwa hili linaweza kuthibitishwa na wawakilishi wa...
All you incredible artists remember this show isn't the fact just the opinion of a group of people who's name are kept a secret.
Literally you can google it congrats to anybody winning anything for hip hop but this show doesn't dictate shit in our world.
Best rap album.
1. Drake X 21...
Aisee hii show ya grammys mwaka huu hatari. Miamba kadhaa ya Rap stage moja huku jay z akishuka verse yake ya karibu dkk 5 kwenye God did.
Jionee mwenyewe hapa chini
Chris Brown ameonesha hisia za kutopendezwa na kitendo cha kukosa tuzo ya Grammy kupitia albamu bora ya R&B, kwa kueleza kuwa hajawahi hata kumsikia mshindi aliyetajwa ambaye ni Robert Glasper.
Breezy ameonesha wazi kuwa hajapokea ushindi wa Glasper kwa roho nyeupe ambapo amepost kupitia Insta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.