Graphic design is the process of visual communication and problem-solving through the use of typography, photography, iconography and illustration. The field is considered a subset of visual communication and communication design, but sometimes the term "graphic design" is used synonymously. Graphic designers create and combine symbols, images and text to form visual representations of ideas and messages. They use typography, visual arts, and page layout techniques to create visual compositions. Common applications of graphic design include corporate design (logos and branding), editorial design (magazines, newspapers and books), wayfinding or environmental design, advertising, web design, communication design, product packaging, and signage.
Unatafuta njia ya kubadilisha ujuzi wako kuwa pesa?
kupitia Ujuzi wa graphics design unaweza kupata kipato online.
Kama umewahi kufikiria jinsi ya kufanya kazi unayoipenda, ukiwa na uhuru wa kuifanyia mahali popote, basi makala hii ni kwa ajili yako.
Katika ulimwengu wa leo, ujuzi wa...
UTANGULIZI
Dunia ya sasa na inakoelekea kuna kukua na kuenea kwa sayansi na teknolojia kwakuwa ina umuhimu sana katika kuleta mafanikio na maendeleo, mambo mengi yanatatuliwa kupitia teknolojia, mambo mengi yanaanzishwa kupitia teknolojia hivyo inanafasi nyingi sana. Lakini wanawake waliopo...
Habari wana JamiiForums, na wadau wa humu kwenye Tech & Gadgets Forum nimeona sio mbaya leo kushare basics za Graphics Design kwa wale ambao wanafanya hii kitu tayari au wale ambao wana interest ya kutaka kuanza.
Nitaongelea mambo matano, Basics za Layout Design, Blocking, Typography na Colour...
Habari zenu wote, naitwa Rey.
Dhumuni la post hii ni kutoa nafasi kwa watu au kundi au kampuni kuweza kuweka pesa yao katika mzunguko wa biashara na in return, kupata pesa yao na some %in cash.
THE PROJECT
• Project inahusiana na Media marketing, ambayo kwa sasa mambo mengi yanafanyika...
Habari wana JF,
Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing.
Je, ninunue laptop ipi?
Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya.
Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta.
Bajeti yangu...
Habari wana JF
Natoa huduma za utengenezaji wa graphics kama ifuatavyo
Natengeneza LOGO kwa matumizi ya ofisi,biashara au matumizi binafsi.Bei ya kutengenezea logo ni Tsh 30,000 na ukinitafuta
tutazungumza kuweka mambo sawa
Natengeneza FLYER kwa ajili ya kutangaza biashara yako kwa Tsh...
Katika kipindi hiki cha janga la virusi vya CORONA (covid-19) tunafahamu sote mambo mengi yanaenda kidigitali(mtandaoni) zaidi hivyo utahitaji post zako ziwe za kuvutia kwa wafuasi na wateja wako.
Hivyo tunakukaribisha kwa mahitaji ya vyote taja hapo juu ikiwemo kwa wasanii chipukizi hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.