graphics design

Graphic design is the process of visual communication and problem-solving through the use of typography, photography, iconography and illustration. The field is considered a subset of visual communication and communication design, but sometimes the term "graphic design" is used synonymously. Graphic designers create and combine symbols, images and text to form visual representations of ideas and messages. They use typography, visual arts, and page layout techniques to create visual compositions. Common applications of graphic design include corporate design (logos and branding), editorial design (magazines, newspapers and books), wayfinding or environmental design, advertising, web design, communication design, product packaging, and signage.

View More On Wikipedia.org
  1. Jinsi ninavyotengeneza pesa mtandaoni kwa kutumia ujuzi wa graphics design, na wewe unaweza kujaribu

    Unatafuta njia ya kubadilisha ujuzi wako kuwa pesa? kupitia Ujuzi wa graphics design unaweza kupata kipato online. Kama umewahi kufikiria jinsi ya kufanya kazi unayoipenda, ukiwa na uhuru wa kuifanyia mahali popote, basi makala hii ni kwa ajili yako. Katika ulimwengu wa leo, ujuzi wa...
  2. Nafanya kazi ya kudesign graphics, ukinihitaji tafadhali nitafute

    Graphics design zote ninafanya. Ukinihitaji nakutumia CV yangu unaipitia. Mawasiliano: 0743442532
  3. SoC03 Jinsi ubunifu na teknolojia vilivyonisaidia mimi binti kuwa Graphics Designer

    UTANGULIZI Dunia ya sasa na inakoelekea kuna kukua na kuenea kwa sayansi na teknolojia kwakuwa ina umuhimu sana katika kuleta mafanikio na maendeleo, mambo mengi yanatatuliwa kupitia teknolojia, mambo mengi yanaanzishwa kupitia teknolojia hivyo inanafasi nyingi sana. Lakini wanawake waliopo...
  4. MSAADA: Ni kozi gani ya kusoma chuo ili kujua mambo ya graphics design na motion?

    Nahitaji kujua kozi inayohusiana na graphics designing na motion graphics chuon, ni course ipi naweza kwenda kuisoma kwa wanaofaham?!
  5. Basics za Graphics Design - Layout, Blocking, Typography na Colour

    Habari wana JamiiForums, na wadau wa humu kwenye Tech & Gadgets Forum nimeona sio mbaya leo kushare basics za Graphics Design kwa wale ambao wanafanya hii kitu tayari au wale ambao wana interest ya kutaka kuanza. Nitaongelea mambo matano, Basics za Layout Design, Blocking, Typography na Colour...
  6. Weka pesa yako kwenye matumizi

    Habari zenu wote, naitwa Rey. Dhumuni la post hii ni kutoa nafasi kwa watu au kundi au kampuni kuweza kuweka pesa yao katika mzunguko wa biashara na in return, kupata pesa yao na some %in cash. THE PROJECT • Project inahusiana na Media marketing, ambayo kwa sasa mambo mengi yanafanyika...
  7. S

    Ushauri wa Laptop nzuri kwa ajili ya graphics design

    Habari wana JF, Naombeni ushauri nataka kununua laptop kwa ajili ya graphic designing. Je, ninunue laptop ipi? Naomba ushauri wa brand na aina. Mkifanya description kubwa mtanichanganya. Mfano ukisema lenovo thinkpad T350, inakuwa rahisi kwa mimi kwenda madukani na kuitafuta. Bajeti yangu...
  8. Natengeneza logo, flyer na Poster

    Habari wana JF Natoa huduma za utengenezaji wa graphics kama ifuatavyo Natengeneza LOGO kwa matumizi ya ofisi,biashara au matumizi binafsi.Bei ya kutengenezea logo ni Tsh 30,000 na ukinitafuta tutazungumza kuweka mambo sawa Natengeneza FLYER kwa ajili ya kutangaza biashara yako kwa Tsh...
  9. Karibu kwa mahitaji yote ya GRAPHICS kama matangazo, covers, busness card, photo editing, n.k

    Katika kipindi hiki cha janga la virusi vya CORONA (covid-19) tunafahamu sote mambo mengi yanaenda kidigitali(mtandaoni) zaidi hivyo utahitaji post zako ziwe za kuvutia kwa wafuasi na wateja wako. Hivyo tunakukaribisha kwa mahitaji ya vyote taja hapo juu ikiwemo kwa wasanii chipukizi hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…