great thinkers

The Great Conversation is the ongoing process of writers and thinkers referencing, building on, and refining the work of their predecessors. This process is characterized by writers in the Western canon making comparisons and allusions to the works of earlier writers and thinkers. As such it is a name used in the promotion of the Great Books of the Western World published by Encyclopædia Britannica Inc. in 1952. It is also the title of (i) the first volume of the first edition of this set of books, written by the educational theorist Robert Maynard Hutchins, and (ii) an accessory volume to the second edition (1990), written by the philosopher Mortimer J. Adler.

According to Hutchins, "The tradition of the West is embodied in the Great Conversation that began in the dawn of history and that continues to the present day". Adler said, What binds the authors together in an intellectual community is the great conversation in which they are engaged. In the works that come later in the sequence of years, we find authors listening to what their predecessors have had to say about this idea or that, this topic or that. They not only harken to the thought of their predecessors, they also respond to it by commenting on it in a variety of ways.

View More On Wikipedia.org
  1. Rozela

    Miradi ya CCM iliyofanikiwa kuteka akili za wanaojiita great thinkers

    NCCR, TLP, CUF, CHADEMA, ACT n.k Siku wananchi wakijua umuhimu wa hii miradi kwa chama cha mapinduzi itakuwa mwanzo mzuri wa kujikomboa.
  2. R

    JF Great Thinkers, mjadala JF ungelikuwa kwanini kamtoa huyu, ame mess up wapi/weakness na huyu aliyeletwa strengths zake ni zipi kuliko aliyetolewa

    Hii pangua pangua za kila leo za Samia zingejadiliwa kwa muktadha wa strentghs and Weaknesses za waliotenguliwa na walioingizwa/chaguliwa! What more do we expect from the new appointees? compared to the outgoing ones Mama anavuruga vuruga kwenye chungu hicho hicho.Jiulize kwanini aliwatoa...
  3. Naanto Mushi

    Namna gani pale great thinkers na matajiri wa JamiiForums. Hili sikulitegemea kabisa

    Nimekutana na hizi nyuzi zifuatazo zimenisikitisha sana 1. Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama huu uzi umetoka kwa lijendari great thinker Mpwayungu Village aisee imenisikitisha sana. Mi naona tusifike huko jamani great thinkers, kumbukeni hawa wazazi wetu kwanza wengi wao - wazazi...
  4. The Boss

    Aina za watu tunaobishana nao mitandaoni

    Rostam Aziz: mahakama zetu sio huru ni sahihi Kwa Dp world kuweka kipengele cha mahakama ya South Africa. Kwanini mahakama zisimchukulie hatua kali iwe fundisho. Anafikiri ukiwa na pesa unaweza iletea mahakama dharau? Mahakama zisikubali kuchafuliwa zimshughulikie haraka Sana iwe fundisho...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    Swali kwa Great Thinkers tu. Kama shetani ni baba wa uongo, kwanini kashindwa ku fake miujiza hii?

    Shetani anatajwa kwenye maandishi matakatifu kuwa ni baba wa uongo, na tumeamini hivyo, lakini kuna vtu ambavyo shetani na makuwadi wake wa soķo huria wakiwemo manabii feki, wachungaji feki, mashehe wa mchongo, waganga na wachawi hawajawahi kuiiga. 1. Bikira kupata mimba bila mwanaume 2...
  6. Chance ndoto

    Ndoa na Dini

    Habari ndugu zangu, Nakuja kwenu nikiwa na nia ya kuomba maelekezo ya maswala ya ndoa na dini kwa upande wa ndoa ya kiislamu na ukristo. Naomba kufahamu! Hivi mtu akioa wake wawili ndoa ya kiislamu, akabadirisha dini na kuwa mkristu (Roman catholic) baada ya muda. Akiwa bado na wake zake...
  7. Chasing Monsters

    Kwa Great thinkers wa JamiiForums mlioko Ngara

    Habari za jioni wadau? Nina mengi ya kushare nanyi kuhusu safari yangu ya kutafuta maisha ndani ya mkoa wa Kagera niliyoianza mwezi wa nane mwaka huu 2022. Ila kwa ufupi naomba niseme tu kuwa safari yangu hii hatimae imenifikisha katika mji wa Ngara. Hivyo basi, kwa wanajamiiforums mlioko huku...
  8. Etugrul Bey

    Hivi humu ni Home of great thinkers au...?

    Tahadhar: Huu Uzi Una Sauti kubwa mno kama upo very sensitive pita Kulia! Naona baadhi yetu huenda tumejikuta humu Kwa bahati mbaya Sana,hatuendani na hii platform ambayo imejipambanua kama sehemu yenye watu wenye akili kubwa au maono makubwa Kwa taafsiri isiyo rasmi. Ukimuona mtu anachangia...
Back
Top Bottom