gridi ya taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hatimaye Mkoa wa Kigoma Wapata Umeme wa Gridi ya Taifa

    Bila shaka Kazi inaendelea.. Kwa mara ya kwanza Mkoa wa Kigoma umepata rasmi Umeme wa Gridi ya Taifa baada ya Kazi nzuri ya Wizara ya Nishati. Hii itasaidia kusimwa kwa mitambo ya mafuta na kupata wawekezaji rasmi wa viwanda vikubwa. Ikumbukwe kampuni ya Intracom ya Burundi ilisema inakusudia...
  2. J

    Waziri Makamba: Tutaweka mchanganyiko wa Umeme wa Maji, Gesi, Upepo, Jadidifu na hata Nyuklia kwenye Gridi ya Taifa

    Waziri wa Nishati January Makamba amesema wanakusudia kuweka mchanganyiko wa uhakika wa Umeme kwenye Gridi ya Taifa. Makamba amevitaja vyanzo mbalimbali vitakavyozalisha umeme huo kuwa ni Maji, Gesi, Jadidifu, Upepo na Just. Waziri Makamba amesema hata chanzo cha Nyuklia kinaweza kutumika kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…