group

  1. Je Wajua? kampuni za Adani Group zimewahi kuripotiwa kufanya Ulaghai na kushushwa thamani ya Utajiri wake kwa Dola Trilioni 27.9

    Januari 2023 Mfanyabiashara Gautam Adani ambaye ni mmiliki wa Kampuni za ADAN GROUP alijikuta akiondolewa katika orodha ya Matajiri wakubwa duniani baada ya thamani ya utajiri wake kushuka kwa zaidi ya Tsh. Trilioni 60 kutokana na kudaiwa kufanya Udanganyifu kwenye masuala ya Hisa na Masuala ya...
  2. D

    Yanga ipo group la kifo CAFCL, no winners no losers in that group

    I will short Yanga previously anticipated a tough group to disappoint one of the favorites to win the CAFCL. They wanted sundowns, to enhance it's presence and superiority in the cup. But as draw came out. Yanga was nicked out with teams with almost the same level of financial power. The...
  3. Adani Group kutumia Tsh. Trilioni 2.4 kuwekeza kwenye Umeme Tanzania

    Serikali ya Tanzania inafanya mazungumzo na Adani Group ya India na Gridworks Development Partners ya Uingereza kwa ajili ya kuingia ubia wa uwekezaji katika Mradi wa Umeme kwa Dola Milioni 900 (Tsh. Trilioni 2.4) na Dola Milioni 300 (Tsh. Bilioni 817). Mtandao wa India Times umeandika Kamishna...
  4. Kwanini Unahitaji Mastermind Group Ili Uweze Kupiga Hatua Kubwa Kwenye Uwekezaji Wa Ardhi au Majengo

    Kwanini Unahitaji Mastermind Group Ili Uweze Kupiga Hatua Kubwa Kwenye Uwekezaji Wa Ardhi au Majengo Katika safari ya uwekezaji kwenye majengo, kuwa na Mastermind Group ni muhimu sana kwa sababu ya faida nyingi ambazo kundi hili linaweza kuleta. Mastermind Group ni kundi la watu wenye malengo...
  5. D

    Nina wasiwasi Simba SC anaweza asifuzu hatua ya Makundi kwenye Kombe la Shirikisho mwaka huu

    here are my reasons after Al hilal Tripoli review. Al Hilal Tripoli might be considered better than the new Simba SC team: 1. Team Cohesion: Al Hilal Tripoli has had more time to build strong relationships and understanding among players. This cohesion often translates to better on-field...
  6. Remember your age group today in this year 2024

    REMEMBER YOUR AGE GROUP TODAY IN THIS YEAR 2024 OVERTIME AGE 1924 - 100 years 1925 - 99 years 1926 - 98 years 1927 - 97 years 1928 - 96 years 1929 - 95 years 1930 - 94 years 1931 - 93 years 1932 - 92 years 1933 - 91 years SUNSET AGE 1934. - 90 years 1935 - 89 years 1936 - 88...
  7. Wagner Group watangaza nafasi ya kazi -🇷🇺

    Kundi la Kijeshi la Wagner Group limetangaza nafai ya kazi huku likitoa maslahi makubwa kwa waajiriwa ikiwa ni mshahara mnono, nyumba, bonus kubwa ya uhakika, silaha ya kisasa ya kupigania, bima ya afya, malipo ya ulemavu kifo au majeruhi.. Ni maamdalizi ya kazi kubwa ‼️Join Orchestra‼️...
  8. Ma boyfriends wa mke wako mtarajiwa wapo kwenye group lako la harusi na wanachanga

    Kama kichwa cha uzi kinavosema. Usasa na utandawazi umewafanya watu kua open sana. Usikute huyo mchumba wako akiwa serious kuolewa na wewe anawaaga ma boyfriends wake kiroho safi na kuwaelezea kua mi ndio naolewa ila urafiki wetu ubaki(kwa akili za wanawake) so sababu na wanaume wa kisasa wapo...
  9. World Cup Qualifiers | Group Stage Matches | Africa

    Leo kuanzia saa 4 kuna mechi nyingi sana za WC Qualifiers zinachezwa, kwa ngazi ya makundi. Sisi tulitakiwa tucheze na Elitrea Jumatatu tar 3 ila ilihairishwa. Hadi sasa mechi zilizopo: Guinea Bissau 0 Ethiopia 0 FT (hii ilikua mapema) Mali 1 Ghana 1 Senegal 1 DR Congo 1 Benin 1 Rwanda 0...
  10. Ahmed Ally: Mazungumzo group la watsup la Champions league

    MAZUNGUMZO GROUP LA WATSUP LA CHAMPIONS LEAGUE Semaji Mamelod : Mnyamaaa 😭😭 Semaji Al Ahly : Pacha naumia sana kwa ajili yako Semaji Mazembe : Jirani tutakumic sana Champions League Mimi Mashine : Msijali wanangu narejea punde Semaji Raja : Ni Mapito tuu hayo Lunyasi mimi miaka miwili...
  11. D

    Bajeti 2024/2025 serikali itoe ajira rasmi kwa wafanyakazi wa JKCI-Dar Group

    Ni muda sasa umepita tokea serikali kurudisha umiliki wa hospital ya Dar group na kuwa chini ya Jkci ingawa awali ilitegemewa baada ya serikali kuchukua rasimali zote za hospital hiyo ikiwemo majengo ,vifaa tiba na fedha ktk account ilitarajiwa kutoa ajira rasmi kwa rasilimali watu (watumishi...
  12. DJ D Ommy kuondoka Clouds Media Group (CMG) kunani?

    Habari za wakati huu Wana JF, ni takribani wiki tatu Toka mkuu Wa maudhui clouds media group ndugu Sebastiani alivokuja na urithi Wa marehemu captain gadner G Habash na kutangaza warithi Wa jahazi. Miongoni mwa warithi alowatangaza ni: ✓George bantu ✓Hamisi mandi ✓Adam mchomvu ✓Bigchawa ✓Dj d...
  13. Haya Wewe mwana 'Group O' Mwenzangu pitia hapa ili ujijue Kitabia Wewe ni Mtu wa aina gani

    Kwa mujibu wa Mtaalam wa Afya ( Daktari ) na Mwanasaikolojia aliyekuwa akizungumza Channel Ten ( ipo YouTube ) kwa wala Matomaso ( Wasiotaka ) Kuamini wakajiridhishe ni kwamba amesema kuwa Dunia inaendeshwa na Watu wenye Damu ya Group O na kwamba bila wao ( ambao ni 40% ) ikilinganishwa na...
  14. Associate Investment Officer/ Investment Officer at World Bank Group April, 2024

    Position: Associate Investment Officer/ Investment Officer Job #: req26888 Organization: IFC Sector: Agribusiness Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Egypt;Rabat,Morocco ;Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred...
  15. Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Huyu jamaa Kwa kutambua kwamba nchi Sasa Ina mbululaz wengi wanaojipendekeza Kwa watu maarufu huku wakijiita machawa akaanzisha kundi la kukimbia mchakamchaka barabarani. Mazoezi ni muhimu Kwa afya ya mwili na akili, lakini yasifanywe kihuni, yafanywe mahali sahihi na salama Kwa wafanya mazoezi...
  16. Hivi lile group la kijeshi la Wagner limepotelea wapi?

    Just nauliza tuu maana lilitetemesha utawala wa Putin a couple of months ago au ndiyo walimaliza mmoja mmoja kwa kifo kama vile ndege iliyo dunguliwa? Za jioni?
  17. Group Head of Sales and Marketing at ABA Alliance Advisory Limited March, 2024

    Position: Group Head of Sales and Marketing Job Purpose Reporting to the Managing Director, the incumbent will be responsible for all sales and marketing activities. Additionally, the role will entail integrating sales, marketing and manufacturing activities to ensure production matches the...
  18. Equity Group yatajwa chapa ya 2 kwa benki imara zaidi duniani

    • Equity imeorodhesha kuwa chapa ya 2 ya benki imara zaidi duniani. • Equity yaibuka kama benki imara zaidi barani Afrika. • Thamani ya chapa ya Equity ilipanda kwa Dola Milioni 22 kutoka thamani ya mwaka jana ya Dola Milioni 428 hadi Dola Milioni 450 (Tzs. 114 bilioni). • Equity inakuwa...
  19. A

    DOKEZO HR wa Kampuni ya G 1 Security Group Limited, amshambulia mmoja ya Wafanyakazi wake baada ya kwenda kufuatilia Sitahiki zake

    Mnamo tarehe 10/02/2024 Hr wa kampuni ya ulinzi ya G1 security iliyopo upanga jijini dar es salaam mtaa wa kitonga,kwa kushirikiana na baadhi ya watendaji wengine,walijaribu kumuua mmoja wa aliyekuwa mfanyakazi wao katika nafasi ya supervisor aliyefahamika kwa jina KESI. Mfanyakazi huyo alifika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…