guest

Christopher Haden-Guest, 5th Baron Haden-Guest (born 5 February 1948), known professionally as Christopher Guest, is a British-American actor, comedian, screenwriter and director. Guest has written, directed, and starred in his series of comedy films shot in mockumentary style. The series of films began with This Is Spinal Tap (which he did not direct) and continued with Waiting for Guffman, Best in Show, A Mighty Wind, For Your Consideration, and Mascots.
Guest holds a hereditary British peerage as the 5th Baron Haden-Guest, and has publicly expressed a desire to see the House of Lords reformed as a democratically elected chamber. Though he was initially active in the Lords, his career there was cut short by the House of Lords Act 1999, which removed the right of most hereditary peers to a seat in the parliament. When using his title, he is normally styled as Lord Haden-Guest. Guest is married to the actress Jamie Lee Curtis, who is styled as The Right Honourable the Lady Haden-Guest, however, she opts not to use her title.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Natafuta lodge au guest bubu ya bei rahisi mbeya mjini

    Kesho asubuhi nitakua mbeya mjini kwa shughuli zangu binafsi. Natafuta lodge au guest house zile bubu ya bei rahisi,budget yangu ni shilingi za kitanzania elfu 8 to 10. Iwe mbeya mjini maeneo ya kuanzia uyole,nanenane,ilomba,Sae,Mama John,Soweto,isyesye na mafiati.iwe na usalama wa kueleweka na...
  2. Eli Cohen

    Unakuta tu amefika mji fulani kikazi anaanza kusema "duh huu mji una guest houses nyingi". Sasa unajiuliza jamaa akaenda kufanya sex tour ama nini😂

    Wewe umejuaje ni nyingi,😂😂😂 Shauri yako na wakati huu mtakondeana kama mshumaa kwa maana USAID wamed*nda hawatoi mavidonge ya bure
  3. kadeti

    Mbona Mji wa Kahama una guest house nyingi hivi ..?

    Jamani mji wa kahama una lodge na Guests house nyingi Sana...kulikoni .. Ndo kusema ni mji wa kibiashara Sana kuliko mji wowote Kanda ya Ziwa... Na madada powa nao hawako nyuma ni wengi wa kutosha ukicheza vibaya umeondoka nao...na hivi Trump anaenda kukomesha mchakato wa Msaada wa ARV kupitia...
  4. M

    Naomba kuuliza kuhusu lodge/ guest Morogoro Mjini

    Ni maeneo gani Morogoro mjini ninaweza kupata lodge/ guest zenye sifa zifuatazo; Pawe pasafi sana Gharama affordable Isiwe na baa au makelele Pawe na uzio na usalama pia
  5. Waufukweni

    Morogoro: Subira adakwa kwa kutekeleza kichanga na kujificha guest

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Subira John (25) mkulima Mkazi Mtendeni kwa kosa la kutelekeza kichanga. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa Morogoro, SACP Alex Mkama tukio hilo limetokea Novemba 8, 2024 majira ya mchana katika eneo la K Park bar kitongoji cha Mbumi...
  6. G

    Sio vizuri kwenda guest house na mtoto mdogo! Kiroho ni mbaya sana.

    Wakuu habari. Kwa wale wapenda mambo ya kikubwa! Kwenda na mtoto wako guest house Kuna mfanya kiroho kuchukua vitu vilivyowahi kifanyika kwenye hicho chumba. Usije shangaa mtoto wako mbona nikahaba au shoga kumbe chanzo ni wewe kwenda naye kwenye nyumba za kulala wageni. Haijarishi unaenda...
  7. Mwachiluwi

    Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

    Je, ulishawai mkimbia mwanamke au kumuacha mwanamke gesti baada ya kutofautiana na je sababu ilikuwa ipi ukamuacha peke yake ukasepa zako?
  8. M

    Utaratibu wa kuachia vyumba kwenye Hotel, Lodges na Guest House ni wa udhulumaji

    Najua wengi mmeshakutana na hizi changamoto za kulazimishwa kuachia chumba huku ukiwa umepumzika kwa masaa 6 tu. Wale wasafiri wa usiku, ama wala bata hizi kero za kuamshwa asaubuhi hasa ikifika saa 4 kuwa muda wa chumba umeisha nilazima ukereke sana. Bei za chumba huwa ni kwa siku. Na wote...
  9. BrainOs

    JamiiForums wametuweza! Nilikuwa natembelea kama 'guest' tangu 2017

    Bhana leo asubuhi nikiwa napitia jukwaa mbalimbali hapa hapa JF nikapata alert kwamba nimebakiza ku-view post 5 kama guest Nikachukulia mzaha nikaendelea ku-view post mbalimbali ghafla napata ujumbe siwezi tena ku-view kama guest hivyo nifungue account Bila hiyana nikafanya hivyo, nimekuwa...
Back
Top Bottom