guinea vs taifa stars

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    CAF yatupilia mbali rufaa ya Guinea dhidi ya Tanzania kufuzu AFCON 2025

    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kupitia Kamati yake ya Nidhamu, limetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Shirikisho la soka la Guinea (FGF) kufuatia kushindwa kwao na Tanzania katika siku ya mwisho ya mchujo ya kusaka tiketi ya kufuzu AFCON 2025. Guinea iliangazia ukiukwaji wa taratibu za...
  2. S

    Tujadili: Refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa, tumebebwa au ni sahihi?

    Wakati tunafurahia matokeo haya, tujiulie: je, ilikuwa sahihi kwa refa kumaliza mpira kabla ya kona kupigwa? Wachambuzi tusaidieni na wote tuweke ushabiki pembeni. All In all, hongera Taifa Stars maana hata Yanga goli lao lilikataliwa Mamelodi akabebwa. Mungu ametulipa watanzania. Soma Pia...
  3. G

    Kuna goli la mama kwenye mechi za Taifa Stars?

    Huwa ninaona kwenye mechi za caf mabingwa na shirikisho kuna zawadi ya pesa taslim kwa kila goli linalofungwa kwa timu kama Yanga, Simba, Azam, n.k. Kwenye mechi za taifa stars hio zawadi ipo? Soma Pia: FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny...
  4. Comrade Ally Maftah

    Taifa Stars (Nyota)wameibuka vinara dhidhi ya Guinea kwa ushindi wa 2 - 1

    UCHAMBUZI WA Comrade Ally Maftah PACOME WA MCHONGO) Tanzania VS Guinea. Katika viwango vya FIFA vinaonyesha Guinea ipo katika nafasi ya 77 na Tanzania tukiwa nafasi ya 113. Mechi hii imechezewa Ivory Coast ikiwa Guinea ndio wenyeji wa mchezo huo, kwa sababu Guinea hawana kiwanja kinachokidhi...
  5. L

    Rais Samia awapongeza Taifa Stars kwa ushindi

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amewapongeza na kuwatakia kila la heri Taifa stars katika ushindi mnono walioupata katika mechi ya leo. Na huu ndio ujumbe wake Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia...
  6. ngara23

    Taifa stars imeshinda, lakini haikustahili, imecheza ovyo sana

    Niwapongeze stars Kwa ushindi wa bahati tu Team imeshinda ila ndo hivo maajabu ya mchezo wa soka. Team dhaifu inaweza kushinda dhidi ya team Bora kabisa Sisi tusiopumbazwa na ushindi wa ngekewa tunakosowa yafuatayo. 1 Eneo la goal keeper Sio GK mzuri, hajui kuji position, Haiti mabeki yupo...
  7. Mkalukungone mwamba

    FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

    Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani. Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka...
Back
Top Bottom