gwambina

Gwambina Football Club is an association football club from Misungwi, Misungwi District, Mwanza Region in Tanzania.
The club was founded when Arusha United was purchased and rebranded by the Manyara Regional Commissioner (RC), Alexander Mnyeti in May 2019. Gwambina won promotion to the Tanzanian Premier League in June 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Kumbe Uwanja wa Gwambina sasa unaitwa Fountain Gate Stadium? Mbona kimya kimya?

    "Singida Fountain Gate FC tumeamua kuweka Kambi yetu hapa Fountain Gate Stadium ambayo zamani ilikuwa ni Gwambina ila kujiandaa na Mechi yetu ijayo huku huku Kanda ya Ziwa" amesema Msemaji wa Singida Fountain Gate FC Hussein Massanza Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM muda si mrefu (Usiku huu)...
  2. GENTAMYCINE

    Je, Rais Samia ikitokea Timu za Ihefu FC na Gwambina FC zinacheza Kimataifa utaendelea Kununua Magoli kwa Tsh Milioni Tano?

    Nasubiri jibu lako Mheshimiwa Rais hasa nikijua kuwa huwa Unanisoma GENTAMYCINE na Wengineo hapa JamiiForums na Kuburudika nasi vile vile. Hongereni pia Vilabu vya Simba na Yanga kwa ama Kutokujua Kwenu au kwa Uzwazwa wenu Kukubali kuwa Mali ya CCM na Serikali.
  3. Kamanda Asiyechoka

    Alexander Mnyeti matatani kwa kutoa kashfa za rushwa dhidi ya TFF

    Hii ni kali.
  4. JanguKamaJangu

    Mmiliki wa Gwambina: Bodi ya Ligi walikuwa wanataka pesa kwa nguvu, usipotoa lazima ushuke daraja

    "Ligi ilikuwa ngumu kwa sababu ilipaswa tushuke na ikiwezekana tupotee kabisa Duniani, Viongozi wa Bodi ya Ligi walikuwa wanahitaji sana hela hata tulivyokuwa ligi kuu nasikitika kuongea haya lakini hakuna namna , huku chini kuna uozo kuna watu pale Bodi ya ligi wameukamata huu mpira kama mali...
Back
Top Bottom