gypsum

Gypsum is a soft sulfate mineral composed of calcium sulfate dihydrate, with the chemical formula CaSO4·2H2O. It is widely mined and is used as a fertilizer and as the main constituent in many forms of plaster, blackboard/sidewalk chalk, and drywall. A massive fine-grained white or lightly tinted variety of gypsum, called alabaster, has been used for sculpture by many cultures including Ancient Egypt, Mesopotamia, Ancient Rome, the Byzantine Empire, and the Nottingham alabasters of Medieval England. Gypsum also crystallizes as translucent crystals of selenite. It also forms as an evaporite mineral and as a hydration product of anhydrite.
The Mohs scale of mineral hardness defines hardness value 2 as gypsum based on scratch hardness comparison.

View More On Wikipedia.org
  1. MOLD ZA MIKANDA YA GYPSUM

    MOLD ZA MIKANDA YA GYPSUM Tangazo: Unatafuta vifaa bora vya kutengenezea mikanda ya Gypsum? Chagua bora, chagua Kirame Group! Tunapatikana kwa huduma zote zinazohusiana na gypsum, pamoja na: Vifaa vya kisasa vya kutengeneza mikanda ya gypsum. Mafunzo ya utengenezaji wa mikanda, maua ya...
  2. U

    Kati ya PVC board na Gypsum Board ipi ni bora?

    Naomba mnijuze wanajf na wataalamu wa ujenzi!Mimi kwenye eneo hili sielewi chochote hasa ni kwa kuwa wengine tulizaliwa enzi zile za kutumia silingi bodi!Ninaomna mnielimishe boards nzuri kwa ndani ni zipi kati ya PVC na hizo gypsum!!
  3. A

    Habari za Wakati wanajamii; Napenda kufahamu Namna Gypsum (Calcium Sulphate) inavyotumika kupunguza Chumvi kwenye udongo shambani.

    Habari za Wakati wanajamii; Napenda kufahamu Namna Gypsum (Calcium Sulphate) inavyotumika kupunguza Chumvi kwenye udongo shambani.
  4. Gypsum bora kwa sasa

    Habari wakuu, Kumekua na aina/brand nyingi sana za gypsum boards siku za karibuni. Katika ufuatiliaji wangu, nimekutana na brand zifuatazo: Made in India(bei kubwa Tsh 22000-27000) -Gyproc -Oriana Made in Thailand [Tsh 24000-27000] -Standard gypsum made in Tz (bei nafuu Tsh 12000-16000)...
  5. Gypsum board nzuri zaidi kwa sasa

    Habari wakuu, Kumekua na aina/brand nyingi sana za gypsum boards siku za karibuni. Katika ufuatiliaji wangu, nimekutana na brand zifuatazo: Made in India(bei kubwa Tsh 22000-27000) -Gyproc -Oriana Made in Thailand [Tsh 24000-27000] -Standard gypsum made in Tz (bei nafuu Tsh 12000-16000)...
  6. D

    Chimbo la angle/trunk za chuma za kujengea dari pamoja na gypsum

    Wakuu naomba mwenye kujua bei za vile vyuma vinavyotumika kujengea dari. Huwa zinatumika pamoja na gypsum. Majina ya mafundi wanaziita angle au channel au trunk. Naomba kujua duka na bei zake.
  7. K

    Nataka Gypsum Board

    Nipo Mkoani, anayeuza Gypsum board na kusafisha nilipo anicheck. Aina ni Thailand.
  8. T

    Kuzuia gypsum isiharibike na kuvuja kwa matone kiasi ya maji kutoka kwenye paa

    Habarini wadau. Nimemaliza kuezeka ila kwa hizi mvua zikinyesha sana na ikiwa na upepo, kuna dalili ya matone ya mvua /maji naona yanadondoka kwa ndani. Japo mvua ikiwa sio ya upepo hio kitu siioni. So nataka kuanza kufunga gypsum board nawaza nifanyeje kabla sijaanza hio kazi. Ili kama mvua...
  9. K

    Je naweza weka gypsum board na mikanda then baadae nikatandaza ile final wiring?

    Wakuu niko njia panda kipi kianze je naweza weka gypsum board na mikanda then baadae nikatandaza ile final wiring juu ya dari maana kuna wizi wa hizi nyanya sana
  10. M

    Chokaa, gypsum powder, wallputy na white cement kwa ajili ya kusafisha ukuta

    Miaka ya nyuma kusafisha ukuta ( skim) watu walitumia chokaa , wapo wanaoendelea kutumia chokaa japo wanaonekana wamepitwa na wakati,🎚️baada ya chokaa zimekuja materia nyingi nyingi. Nimetumia gypsum powder, nimetumia na wallputy , sijatumia white cement na chokaa naiona kwenye nyumba za home...
  11. F

    Je, kuna mtu ameshawai kusikia kelele za panya anatembea juu ya gypsum board?

    Habari wadau, Kuna hoja nimeisikia kwamba panya yeyote hawezi kutembea wala kukimbia juu ya gypsum board. Anateleza. Je, mtoa hoja anasema ukweli ama anadangaya? Kwa watu mnaoishi kwenye mazingira yenye gypsum board Je, mmewahi kusikia panya juu ya hizo board anakimbia ama anatembea kama...
  12. R

    Nahitaji fundi Dar mwenye uwezo wa urembo Gypsum kama huu

    nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha. Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii. Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as possible
  13. Kwanini gypsum inachanika baada ya kufungwa?

    Habari,,, naomba msaada wakujua kwanini gypsum inachanika baada ya kufungwa.? kwa mafundi ambao wanajua naomben msaada wa mawazo
  14. Kwanini gypsum inapasuka?

    Wadau naomba kuuliza kuhusu gypsum kwanini inapasuka na haijachukua muda tangia imewekwa?
  15. M

    Kiwanda cha mikanda ya gypsum Iringa

    Habari zenu wana JF? Naomba niende kwenye content moja kwa moja tunaitaji mshirika kwaajiri ya kuendeleza kiwanda chetu cha mikanda ya gypsum ambaye tutamuuzia share kwenye kampuni yetu kilingana na uwekezaji wake kiwanda uzalishaji unaendelea ila tunataka tuongeze nguvu tuwafikie watu wengi...
  16. B

    Biashara ya kuchimba mawe ya gypsum

    Habari Naomba kufahamu anayeijua biashara ya kuchimba mawe ya gypsum. Kwa maeneo ya kilwa au makanya. Gharama Hadi kiwandani ni kiasi gani, na faida ni kiasi gani Nawasilisha
  17. B

    Natafuta Gypsum board za Thailand

    Habari wama JF, Nina hitaji Gypsum board za Thailand, anayejua duka zinapopatikana au kama ni mfanyabiashara nijulishe. Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam
  18. A

    Naomba picha za gypsum ceiling za sebureni

    Ndugu wanajamii naombeni mnitumie picha za jipsam za sebure ili niweze kuchagua nami nimtafute fundi atengeneze.
  19. Interview KNAUF gypsum Tanzania Ltd

    Habari wakuu naombakuuliza hao jamaa nimefanya nao interview mbili za oral .....na kazi yao niliomba kupitia empower... nifanye na walisema interview ile ya pili ndo ya mwisho....sasa hadi sasa nimeingia wiki la pili kimya ..naomba kujua kama kuna mtu pia alifanya kama walisha ita au kimya na je...
  20. Nahitaji gypsum boards PC 90 Tanga

    Nahitaji gypsum boards PC 90 Tanga bei ni 10,000..bei ni ndogo ila kama itakuwa ndani ya uwezo pesa ipo kwenye Shati
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…