haja

Håja (Norwegian) or Jievju (Northern Sami) is an unpopulated island in Hammerfest Municipality in Troms og Finnmark county, Norway. Håja is located in the Sørøysundet strait, between the larger islands of Kvaløya to the east, Seiland to the south, and Sørøya to the northwest. The town of Hammerfest lies about 8 kilometres (5.0 mi) to the east of Håja.On the island, there is a gull colony. Locals use the island for picking seagull eggs and berries, traditional ingredients of North Norwegian cuisine.
Several companies and institutions in Hammerfest have been named after Håja, including a kindergarten.

View More On Wikipedia.org
  1. Hakuna haja ya kuogopa kufa kama hukujua ungezaliwa

    Dini zimekuwa zikitumia kifo kama dhana ya kutisha toka na ujinga na ujanja ujanja wa kutaka kuwatisha ili kuwatawala na kuwaibia waumini. Mara utaingia motoni, mara peponi. Nani amewahi kwenda kule? Wengine huenda mbali na kuelezea ilivyo pepo au motoni. Yote uongo mtupu. Ni ngano za kutishana...
  2. Siku hizi hakuna haja ya kubaki na mapengo tiba zipo za meno bandia

    Wana JF habari za Jumapili , ikiwa una tatizo la mapengo unaweza tabasamu upya kwa kuwekewa meno bandia ya kudumu kwa gharama rafiki Tazama jinsi mama wa miaka 67 alivyotabasamu kwa mara ya kwanza tangu apoteze meno yake akiwa na miaka 45 🙌🏿😁 Hapo chini Nimekuwekea Picha Kabla na Baada Ya...
  3. Ipo haja ya dhati kabisa uchangishawaji wa fedha unaoshirikisha umma, ukawa unaombewa vibali maalum.

    Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu, Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani...
  4. Hivi kuna haja yoyote ya kuwa na ukaribu na ndugu wa mke?

    Mambo vipi watu wa Mungu? Ebana nilikua nauliza,hivi kuna tija au ulazima wowote wa kuwa karibu na ndugu wa mke? Asanteni
  5. Kuna haja ya wazazi kuwaaandalia watoto wao mazingira ya kazi kama ilivyo jamii za kipemba ,kiarabu na kihindi.

    Nimefatilia Sana na kuangalia mtu Amalia machozi na wengine wakianzisha umoja wao wa Majobless ili kuendesha harakati za kudai Ajira. Ni kweli serikali inabidi kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi ya kupunguza hili tatizo hata kwa asilimia kadhaa . Ila kubwa kuliko ni wazazi kuwa na uwezo wa...
  6. Kuna haja na sisi kuwa na Halftime show kwenye Kariakoo Derby?

    Kuna weza kuwa na faida iwapo tutakuwa na halftime show ya muziki kwenye Kariakoo Derby kama ambavyo US wanayo kwenye superbowl?
  7. Kuna haja ya Elimu zaidi Kwa wajasiriamali na wawekezaji wadogo wadogo.

    Habari za jioni jamii forum Kazi ni maisha,kila hatua na kila siku tunahitaji ubunifu mpya kwenye mishe zetu ikiwa ni njia ya kujikwamua na kuuacha umaskini haswa Kwa sisi watu wa kipato cha chini. Lakini je,tuna elimu ya kutosha Kwa tuyafanyayo,au tunayoyaanzisha? Au ni tamaa na kuiga tu...
  8. Je kuna haja ya kuamini ukristo na uislam wakati vimejengwa kwenye uongo?

    Wanabodi, hakuna haja ya kuzungusha. Hakuna ubishi. Waanzilishi wa Ukristo na Uislam ni Yesu na Muhammad. Hakuna ubishi kuwa hakuna anayejua namna hawa waanzilishi walivyofanana wala kuwa. Hakuna ubishi, wakristo wana picha feki za wazungu waliomuigiza Yesu. Hakuna ubishi, waislam hata...
  9. W

    Kuna haja ya kuanzisha utamaduni mpya wa kuchukulia ni jambo la kawaida mwanamke kuzaa, kuwepo sherehe, pongezi na zawadi baada ya DNA TEST

    Ni utamaduni wa waafrika wengi kuwa strict sana kwenye kulea damu zao ndio maana huwa wanaumia sana wakigundua watoto ni wa nje. Mfano kwenye kabila letu (nisingependa kulitaja), naambiwa hapo zamani ilikuwa kaka akitembea na mke wa ndugu yake, haikuleta shida, cha muhimu kilikuwa damu iwe...
  10. D

    Kuwa mtu mzima kunanifundisha kuwa kuna haja ya kuwa na mganga wako

    I will be short Humanity is hard work We do a lot of mistakes , bila kuwa na mganga wako wa kureverse some things . Stress na mistakes zitakuua . It’s no joke Mimi ni pure Christian . Ila watu wana ni push to the Limit . Unakuwa mwema watu wanataka vita . , Kazini vita , mtaani vita ...
  11. L

    Kuna haja ya kuwa na wasiwasi au akae kwa kutulia?

    Salamu kwenu. Huyu mdada amepambana anavyojua akapata barua ya uhamisho kutoka wilaya X kwenda mkoa na wilaya nyingine mwezi uliopita.Alipotoka amefungashiwa kila kitu na wilaya aliyohamia washampa barua ya kituo chakazi. Tatizo anaogopa kuhamisha mizigo yake akihofia kurudishwa...
  12. Hii ndiyo sababu kwanini wanawake wajawazito hujamba ama kujisikia haja mara kwa mara

    Habari za muda huu wakubwa... Ni jambo la kawaida kabisa kwa wanawake wajawazito kujisikia haja ya kujisaidia choo mara kwa mara. Hii ni kutokana na mabadiliko kadhaa yanayotokea mwilini wakati wa ujauzito: * Homoni: Mabadiliko ya homoni husababisha misuli ya utumbo kufanya kazi kwa kasi...
  13. Kwa faida ya Tanganyika ijayo ipo haja kwa watanzania wote wafurahie Tundu Lissu kuomba nafasi ya Uenyekiti Taifa wa CHADEMA

    Naomba kuwasilisha ndugu wana jukwaa, Taifa hili linapita katika nyakati ngumu sana awamu hii ya 2015-2025, mengi yametokea na yanaendelea kutokea, Lissu ata set precedence ya mambo yanayokuja mbeleni kwenye maeneo kadhaa ambayo sipaswi kuyasema. Demokrasia ndani ya CHADEMA ni chachu ya...
  14. Njombe: Amuua mwanamke kwa kumtoa utumbo kwa kuingiza mkono wake njia ya haja kubwa kisa Kukataliwa Kimapenzi

    Bwana Baltazar wa Njombe amemtoa mwanamke utumbo Kwa kuingiza mkono wake kwenye haja kubwa kisa kunyinwa papuchi. Haijaeleweka kama marehemu alikula hela zake au laa ila Polisi wamemtia nguvuni Kwa mahojiano zaidi. -- Polisi mkoani Njombe inamshikilia Baltazari Sonyonda (33) mkazi wa Kijiji...
  15. MANSION DESIGN 5BEDROOMS (JENGA NASI VIFAA UNAJINUNULIA) UKIJENGA KAMA HII HUNA HAJA YA GOROFA KABSA

    5BEDROOMS KUBWA NZURI KARIBU UJENGE NYUMBA YA NDOTO YAKO NASI TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM SINZA CALL/WHATSAP US +255624004650
  16. B

    Je!! Kuna haja ya kumfata mumewe kituo kipya cha kazi??

    Mume na mke wana watoto 3, hawana maelewano mazuri kama mwaka hv ilipelekea kulala kilamtu chumba chake,,, Sasa mwanaume kapata uhamisho kazini anahamia mkoa mwingine bidada ndio anaomba ushauri kuna haja ya kuhama wote??? Au amuache tu jamaa aende yeye abaki na watoto maana pia wamejenga +...
  17. Policy statement: kuna haja ya kuvunja kijiji kila eneo likiingia Manispai? why ugatuaji usiendelee? Kwa nini kijiji kivunjwe badala ya kuimarishwa?

    Kesho Samia yuko kwa wataalamu wa serikali za mitaa, Mzumbe. Tena kaenda hapo kipindi cha uchaguzi wa mitaa. Kwa nini kijiji kiwe shida kama ni mchakato wa ugatuaji? Hakuna new thinking ili madaraka yabaki kwa wananchi?maana at first anaamuliwa kijijni, baaadae anaaambiwa nenda mjini. Mjini...
  18. G

    Chat gpt imenitimizia ndoto ya kuandika kitabu changu, sina haja ya kumlipa proof reader kusahisha makosa ya grammer / broken english

    Nilikuwa na ndoto ya muda mrefu sana ya kuandika kitabu changu cha taaluma niliyosomea, kuna somo nipo nondo vibaya mno !! Hofu yangu kubwa ilikuwa ni english kwenye mambo ya grammer, articles, prepositions, nk. Chat GPT imenipa confidence kubwa sana, nachofanya naandika kurasa moja au mbili...
  19. Serikali kuna haja kuomba msaada kwenye kampuni za uchimbaji madini Maana wana uzoefu Mkubwa na mambo kama hayo

    Kuna umuhimu mkubwa wa kuhusisha kampuni kama Barrick Gold au nyingine za uchimbaji madini ambazo zina vifaa vya kisasa na utaalam wa kushughulikia shughuli za kufukua vifusi kwa haraka na kwa usalama. Kampuni kama hizi zina vifaa na uzoefu unaoweza kuwa msaada mkubwa, hasa katika hali kama hii...
  20. Sioni kama kuna haja ya kuendelea kutumia wachezaji wazee kwenye Timu ya Taifa

    Nashangaa sana timu ya taifa kuendelea kumuita samata kuja kucheza katika ligi za mataifa kwaza ni mchezaji mzee na kwasasa anacheza kwa kuangalia jina lake nashauri msiite wachezaji kwa kuangalia jina lake bali angalieni ubora wake na kipaji chake kipoje kwa wakati uho Samata kwasasa hana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…