haki ya digitali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vyombo vya Usalama vinaweza kufuatilia mawasiliano kwa kibali halali

    Katika mazingira ya Tanzania ambapo kulishatokea matukio ya kigaidi, kama shambulio la bomu kwenye ubalozi wa Marekani mwaka 1998 na matukio ya vurugu za Kibiti, vyombo vya usalama vya serikali (Intelligence community) vinategemewa kufuatilia mawasiliano ya watu kwa sababu za kiusalama Vyombo...
  2. Telegram inafanya kazi kwenu ndugu zanguni?

    Naenda wiki sasa Mtandao wa Telegram haufanyi kazi kwangu siingii siwezi kufanya chochote una load tu kama vile sina internet. nimejaribu simu, computer tofauti ila inakataaa, je Hii ni kwangu tu au na wenzangu pia? Mnaotumia hamjaona hili kwenu? Kuna namna naweza fanya nitumie? Msaada kwa...
  3. W

    Huwa una 'Update' Kifaa na 'Application' zako mara kwa mara?

    'Application' and 'Device Update' ni kuruhusu toleo jipya la mfumo wa uendeshaji wa kifaa chako kuweza kuendesha programu au 'drivers'. 1. Kuongeza Ulinzi Wadukuzi hutafuta njia mpya za kudukua kila wakati. Usasishaji (Updating) husaidia kuzuia mianya ambayo ingeweza kutumiwa na Wadukuzi hao...
  4. Acha kujirekodi video za utupu, zikivuja msambazaji wa kwanza ni wewe!

    Ikitokea jambo lako limesambaa ujue kabisa msambazaji wa kwanza ni wewe! usingejirekodi wengine wasingepata nafasi ya kusambaza, unatoa mwenyewe mwanya wa kudhalilika, usilaumu wengine wakiwa hawana muda wa kufikiria hasara utakayopata maana umeamua mwenyewe udhalilike, unless umerekodiwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…