Moja ya kesi muhimu katika uhuru wa kimtandao Tanzania ni pamoja na hii, Bwn. Paul Kisabo aliwasilisha malalamiko dhidi ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kisabo alidai kuwa TCRA imezuia ufikiaji wa...
Katika miaka ya hivi karibuni, kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi kumeleta mabadiliko makubwa katika mawasiliano nchini Tanzania.
Simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku ya Watanzania wengi, zikichochea maendeleo katika sekta mbalimbali kama vile biashara, elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.