haki ya kidijitali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abdul Said Naumanga

    Mahakama Kuu: Hakuna ushahidi wa vizuizi vya Serikali dhidi ya mtandao wa Clubhouse

    Moja ya kesi muhimu katika uhuru wa kimtandao Tanzania ni pamoja na hii, Bwn. Paul Kisabo aliwasilisha malalamiko dhidi ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kisabo alidai kuwa TCRA imezuia ufikiaji wa...
  2. Novart moses

    SoC04 Mitandao ya simu kuimarisha ulinzi dhidi ya jumbe na simu za kitapeli

    Katika miaka ya hivi karibuni, kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi kumeleta mabadiliko makubwa katika mawasiliano nchini Tanzania. Simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku ya Watanzania wengi, zikichochea maendeleo katika sekta mbalimbali kama vile biashara, elimu...
Back
Top Bottom