haki ya kikatiba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

    Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa "Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba...
  2. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Lissu: Haki ya kupiga kura siyo haki ya Kikatiba, hata mahakama haiwezi kukusaidia ukienda kudai haki hiyo

    "Katiba yetu ilivyoandikwa zile zinazoitwa haki za kikatiba zinaanzia Ibara ya 12 mpaka Ibara ya 29: Haki ya Kuishi, Haki ya kuwa huru, haki ya maoni, haki ya kushiriki shughuli za umma nakadhalika, hizo zinazoitwa haki za binadamu ndizo haki za kikatiba, kama kuna kitu hakijaandikwa kuanzia...
  3. Keynez

    Kuna siku mgogoro huu wa Kikatiba utaibuka na utaitingisha nchi

    Katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria zetu za uchaguzi zinataka mtu ukigombea nafasi yoyote ya kisiasa ni lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa kilichosajiliwa na kinachotambulika. Kwa msingi huu wa sheria ina maana ukipoteza unachama wako ina maana umepoteza pia sifa...
  4. Waufukweni

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) chaburuzwa Mahakamani kwa kukiuka Haki ya Kikatiba

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kanda ya Tabora kimefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kukiuka haki ya kikatiba dhidi ya Mohamed Thabiti Nombo, mkazi wa mkoa wa Tabora. Kesi hiyo, yenye namba 31308 ya mwaka 2024, inasikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa mkoa wa Tabora chini ya...
Back
Top Bottom