haki ya kuajiriwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Wasomi msio na ajira muishinikize serikali mpate haki ya kuajiriwa Zanzibar kama ilivyo wenzenu kutoka Zanzibar walivyo na haki kuajiriwa bara

    Kama unakuwa msomi na huzijui haki zako za msingi ni heri upokonywe vyeti vyenyewe. Si wasomi wote wataajiriwa na serikali au sekta binafsi ila ni sharti kuwepo na usawa katika ajira. Bila kijali huyu anatoka visiwani au bara kwenye suala la ajira vijana wote wanapaswa kuwekwa kwenye kapu moja...
  2. N

    Ni vipi vigezo vya kufanyakazi Ofisi za Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , ofisi za Rais? Unapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu

    Wanaofanya kazi Ofisi ya Waziri Mkuu, Makamu wa Rais , Ofisi ya Rais wanabidi wawe na vigezo gani au elimu gani? ajira zao zipoje? Elimu yao au taaluma zao? Ajira wanaombea wapi? Karibuni tujadili tuwasaidie vijana wenye Ndoto hiyo_ kwa uwazi
Back
Top Bottom