Kwanini sijaumia kwa Taarifa nilizosikia sababu ni kwamba hawa hawa wanaolia leo na kulalamika wakiwa Matibabuni Hoi ndiyo walikuwa wakimsema Hayati Magufuli na wa sasa alipoingia wakawa wanampamba kwa gharama za Kumtukana na Kumdhalilisha Hayati Magufuli.
Pia soma: Thread 'CHADEMA: Tutafungua...
act wazalendo
ccm
chadema
hakiya kuandamana
hakiyakukusanyika
hayati magufuli
john mnyika
kuelekea 2025
rais samia
siasa tanzania
sugu
tundu lissu
uhuru wa maoni
viongozi chadema wakamatwa
viongozi chadema wapigwa