Ni kujikosea heshima kupigana na mtu aliyefungwa kamba mikono na miguu.
Askari anayejikubali hawezi kwenda kuwinda wanyama mbugani..roho yake lazima imsute. Yeye amefundishwa kupigana na wapiganaji, Ni kwanini akamtafute mnyama asiyeweza kujitetea?
Simwongelei Sativa, hao ni wengi na...