haki ya mtoto nje ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwa nini Mtoto wa nje hapaswi Kurithi Mali za Baba yake?

    KWA NINI MTOTO WA NJE HAPASWI KURITHI MALI ZA BABA YAKE? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mada hii wengi Watu wengi wamecharuka kîla mmoja akionyesha Hisia Zake huku Wengine wakishindwa kuzitawala Hisia hizo. Wengine wanasema, oooh! Mtoto NI Mtoto. Wengine oooh! Hiyo siô Haki kwani Mtoto...
  2. Je, mtoto wa nje ya ndoa ana haki ya urithi?

    Habari za asubuhi, mchana na jioni. Hapa mtaani kuna sekeseke limetokea, mzee mmoja Mangi wa Rombo ameowa mwanamke wa kidogo kutoka mkinga huko Tanga. Katika maisha yao ya ndoa wamejaaliwa watoto 3 ila katika hao watoto mmoja wa kiume sio wa Mangi na alimpima DNA huko kenya ikaonesha kweli sio...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…