Hizi leseni mbona zinatolewa kwa upendeleo na maombi yetu yanaambiwa hayasikilizwi kwa kuwa hakuna board, wote wamestaafu huku wachimbaji wengine wakipewa leseni
Waziri Mavunde hebu tusaidie na sie tuweze pata leseni tuendele na kazi sababu ukisema tusubiri board ipitishe inakuaje wengine...
Tume ya Madini inafaa kueleza vizuri sababu za kutofautisha katika utoaji wa leseni kati ya PL 6973/2011 NA RL 0009/2014. Hili ni wajibu muhimu wao kwa ajili ya uwazi na uwajibikaji katika mchakato huo. Baadhi ya mambo yanayostahili kuzingatiwa ni:
1. Kueleza kwa undani sababu za kuchelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.