haki ya wachimbaji wadogo wa madini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Tume ya Madini inatoa leseni za wachimbaji wadogo kwa upendeleo na kisingizio cha kutokuwepo Bodi

    Hizi leseni mbona zinatolewa kwa upendeleo na maombi yetu yanaambiwa hayasikilizwi kwa kuwa hakuna board, wote wamestaafu huku wachimbaji wengine wakipewa leseni Waziri Mavunde hebu tusaidie na sie tuweze pata leseni tuendele na kazi sababu ukisema tusubiri board ipitishe inakuaje wengine...
  2. peno hasegawa

    Tume ya Madini na Wizara ya Madini watendeeni haki Watanzania ambao ni wachimbaji wadogo wa madini

    Tume ya Madini inafaa kueleza vizuri sababu za kutofautisha katika utoaji wa leseni kati ya PL 6973/2011 NA RL 0009/2014. Hili ni wajibu muhimu wao kwa ajili ya uwazi na uwajibikaji katika mchakato huo. Baadhi ya mambo yanayostahili kuzingatiwa ni: 1. Kueleza kwa undani sababu za kuchelewa...
Back
Top Bottom