haki za raia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Haki za Raia (mtuhumiwa) mbele ya polisi

    Leo nitafundisha baadhi ya haki zako raia mbele ya polisi Polisi ni chombo cha serikali kipo cha ajili ya kulinda raia na mali zao Kimsingi polisi wanatakiwa kuwa rafiki wa Raia ili kushirikiana kuondosha uharifu Polisi hawapo juu ya sheria, wakikengeuka wanaweza kushtakiwa na mkono wa sheria...
  2. Inside10

    Familia yataka haki kijana aliyedai kuvunjwa mguu na polisi

    Familia ya kijana aliyedai kupigwa hadi kuvunjwa mguu na askari polisi ndani ya chumba cha mahojiano, wamelitaka Jeshi la Polisi kumfikisha mahakamani mtuhumiwa huyo, ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake. Kijana huyo, Peter Charles (21), mkazi wa kata ya Daraja Mbili jijini Arusha...
  3. Pendragon24

    SoC04 Uanzishwaji wa madarasa huru ya jamii ili kulinda haki za raia na kupunguza chuki za ukabila, uchama udini na ukanda zilizoanza kumea nchini

    Kama taifa sasa tunashuhudia kumea kwa matabaka ya chuki kati ya jamii na watu wenye itikadi kali dhidi ya wengine ambao wanaonekana kuwa inferio ndani ya nchi yao. Wananchi ambao wanaonekana kuwa inferio ndani ya jamii wengi wao wanasumbuliwa na tatizo la uelewa mdogo kuhusu maswala mtambuka...
  4. B

    Hivi Mkuu wa Wilaya Ubungo atathibitishaje ukahaba wa hawa watu?

    Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. 1. Pengine utasema ni kahaba kwasababu kavaa nguo fupi sana dizaini ya chupi au nyinginezo. Lakini hii sio ushahidi wa mtu kuwa kahaba. Tanzania hatuna Sheria inayoelekeza(regulate) mavazi. Mtu anaweza kuvaa vyovyote vile. Na pia hakuna mavazi mtu akivaa...
  5. Yoda

    Chalamila akusudia kuanzisha oparesheni maalumu dhidi ya waganga wa kienyeji Dar!

    Hivi wakuu mkoa na wa wilaya za Dar es Salaam huwa wanakuwa na mpango kazi maalumu wa kufanyia kazi kwa mkoa na wilaya husika? Yaani baada ya kutokea mauaji ya mtoto albino huko Muleba, Kagera Chalamila yeye anaibuka na oparesheni ya waganga wa kienyeji Dar! Sasa Chalamila atawashughulikia...
  6. sitagliptin

    KERO Naomba uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili uondoe CCTV Camera zilizowekwa chooni

    Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ya Upanga, tafadhali fanyeni busara kuziondoa kamera ambazo zimefungwa chooni. Sio busara, sio ustaarabu, ni kuingilia faragha za watu. Chooni ni eneo nyeti sana usiri mkubwa sana. Nimeshangazwa kukuta kamera zimewekwa ndani chooni, eneo ambalo mkoaji...
  7. P

    Mwanajeshi kudhulumu darubini

    Habari za wakati huu, Mimi ni mwananchi wa kawaida, raia wa Tanzania. Nipo Dar es Salaam katika eneo fulani ambalo lilikuwa shamba la marehemu mzee wangu, sasa limekuwa eneo la makazi. Ilibidi mzee apime viwanja na kuanza kuuza baadhi ya viwanja. Kuna mteja mmoja, mwanajeshi, alijenga na...
Back
Top Bottom