haki za wanawake

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D_ullah

    Mfumo dume ni mtindo wa uongozi wa Kiafrika unaopigwa vita badala ya kuboreshwa

    HUU NI MJADALA NILIO UKUTA BAINA NA WAKATA TIKETI NA MAENEO FULANI HAPA NCHINI. Mfumo/Mtindo wa Uongozi barani Afrika miaka na miaka ulikua ni mfumo wa kikifalme na kichifu ambao ulikua umejikita kati utawala wa jinsi ya kiume na kurothishana ulikua unapokea ushauri kutoka kwa wazee wa familia...
  2. Waufukweni

    Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na Ukandamizaji, kuiburuza mahakamani Wasafi FM

    Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu, ameandika barua ya wazi kwa Diamond Platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake Wasafi FM, kupitia maudhui ya kipindi cha Mashamsham. Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa...
  3. Waufukweni

    Wanaharakati wa Haki za Wanawake Afrika Kusini wataka shoo ya Chris Brown ifutwe

    Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini Afrika Kusini kutoka Taasisi ya Women for Change wameanzisha kampeni ya kutaka kusitishwa kwa shoo ya staa wa RnB duniani, Chris Brown maarufu Breezy pnchini humo linalotarajiwa kufanika kwa siku mbili, Desemba 14 na 15, 2024. Wanaharakati hao...
  4. Mindyou

    Iran: Polisi wa kike amshambulia mwanamke mwenzake kisa kutokuvaa Hijab. Wanawake wengine wajibu mapigo!

    Huko kwenye mtandao wa X kuna video moja fupi inayotembea kwa kasi inayomuonesha mwanamke mmoja aliyetambulika kama Morality Police Officer yaani polisi wa maadili ambaye alikuwa anashambuliwa na wanawake wenzake. Polisi huyo aliripotiwa kumpiga mwanamke mwenzake kwa sababu mwanamke huyo...
  5. Paul samx

    SoC04 Kuimarisha Sheria za kulinda haki za wanawake na watoto msingi bora kujenga Tanzania ya maendeleo endelevu kufikia 2050

    UTANGULIZI Hali halisi ya Tanzania: Chanzo cha taarifa: Ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu (OHCHR) ya Septemba 2023. Kesi za Unyanyasaji wa Kingono: Idadi ya kesi za unyanyasaji kingono dhidi ya wanawake na watoto bado ni juu sana, ikifikia karibu 7,000 kwa mwaka 2023...
  6. I am Groot

    Wajue: Baadhi ya wanawake waliosaidia katika ukuaji wa sayansi na Teknolojia.

    1. Katherine Johnson (1918-2020) Picha Credit: Alex Wong /Getty Images Katherine Johnson alikuwa mwanamke mwanahisabati na mmoja wa wanawake wa kwanza wenye asili ya African-American kufanya kazi kama mwanasayansi chini ya kampuni ya NASA. Kama mwanahisabati, alifanikisha kukokotoa na...
  7. I

    Mwanaharakati wa haki za akina mama ahukumiwa jela miaka 11 nchini Saudi Arabia kwa kutetea haki za wanawake

    Mwanaharakati wa haki za wanawake vijana nchini Saudi Arabia alihukumiwa kifungo cha miaka 11 jela kwa siri na mahakama ya kupambana na ugaidi baada ya kukamatwa kwa "chaguo lake la mavazi na kuunga mkono haki za wanawake". Maafisa wa Saudi Arabia walithibitisha katika taarifa kwa kamishna mkuu...
  8. matunduizi

    Wanawake muolewe. Wanawake waliofanya mambo makubwa katika Biblia walikuwa ni wake za watu

    Ni Ibris ndio anakudanganya eti ukiwa siglemama ndio utafanikiwa, utakuwa huru na utajitawala. Wale ambao kama mimi wameruhusu akili zao ziathiliwe na Biblia watajua wanawake wenye ushawishi, matajiri na wanawake wa maana wenye adabu walikuwa ni wake za watu, sio Masingle mama au wanakejeli...
  9. Anonymous77

    SoC03 Usawa wa Jinsia, Haki za Wanawake, Watoto, Vijana, na Wazee Tanzania

    Tanzania ni nchi yenye idadi kubwa ya watu, takriban watu milioni 57. Kati ya idadi hiyo, wanawake wanaunda asilimia 51. Hata hivyo, wanawake nchini Tanzania bado wanakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwemo: Ukosefu wa usawa wa kijinsia katika elimu, ajira, na siasa. Ukatili wa kijinsia, ikiwa...
  10. G-Mdadisi

    ASASI ZA KIRAIA PEMBA: Mkakati wa pamoja wa ufuatiliaji rasilimali za umma katika jamii utasaidia kuongeza uwajibikaji kupatikana Haki za Wanawake

    ASASI za kiraia kisiwani Pemba zimeeleza kuwa kuwepo kwa mpango na mkakati wa pamoja wa ufuatiliaji wa rasirimli za umma katika jamii utasaidia kuongeza uwajibikaji wa taasisi za umma katika kusimamia rasilimali hizo kwa maendeleo ya nchi. Walisema hayo wakati wa mkutano wa asasi za kiraia...
  11. I

    Wanawake hawajui haki zao

    Hadithi ya hii inatokana na maisha ya mwanamke asiyejua thamani yake na haki zake. Imagine mpaka Leo kuna wanawake wanaishi maisha ya mateso. Mwanamke ameachana na mume wake na kila mtu anaishi maisha yake. Hii hainishangazi ila kinachonishangaza ni kwamba Mwanaume baada ya kuacha a na mke...
  12. Kijakazi

    Unapigania Haki za Wanawake huku ukiwakatia Maji na Umeme

    Hakuna watu wanaoteseka na ukosefu wa maji na umeme kama Wanawake, wao ndio wanaohangaika visimani na ndoo kutwa nzima kutafuta maji kwa sababu wewe unayesimama jukwaani na kusema unawapigania umewakatia maji, sielewi hapa ni haki ipi hiyo ya Mwanamke unayoipigania ? Hivi haya mambo huwa...
  13. Z

    Kwanini kitabu cha Muongozo wa Utoaji Haki za Wanawake kimeandikwa kwa Kiingereza

    Jana Mhe .Rais Samia alizindua Kitabu cha muongozo kwa Majaji na Mahakimu kinachohusu jinsi ya utoaji wa Haki za wanawake na watoto ktk kesi za mirathi ndoa na talaka n.k. Sisi wananchi tunashukuru kwa hatua hiyo lakini tumeshangaa sana kuona kitabu hicho kuandikwa kwa lugha ya kizungu wakati...
  14. C

    Je, haki za wanawake ni pamoja na kuridhishwa kingono?

    Hivi sasa katika nyakati zetu, haki za wanawake zimekuwa zikipigiwa upatu na makundi mbalimbali ya kijamii wakiongozwa na wanawake wasomi. Wote wamekuwa wakipambana na kitu kinachoitwa mfumo dume. Mapambano hayo ya kudai haki, yameleta maumivu kwa watu wengi wakiwemo wanaume, wanawake na...
Back
Top Bottom