haki za watumishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Uongozi Pori la Akiba Maswa umeshindwa kusimamia Haki za Msingi za Watumishi wake

    1. Kumekuwa na utaratibu wa kusitishwa likizo za Watumishi wanapokuwa likizo na Afisa Mhifadhi II Fundi kwa kigezo cha uhaba wa Watumishi, pia kukataa kutoa ruhusa mbalimbali kwa Watumishi wakiwa na changamoto. 2. Kuna Watumishi wapatoa 6 hawafanyi majukumu yoyote ya Doria bila sababu za msingi...
  2. sindano butu

    Hasara za PEPMIS kwenye haki za watumishi

    Hongera sana serikali kuanzisha pepmis ambayo imekuwa chachu kwa huduma za utumishi kupatikana kidigitali. Pepmis imerahisisha sana kwa serikali kuona watumishi wao wanayofanya kila siku. Lakini ingawaje Pepmis imeonekana na faida lakini imekuwa fimbo kukosesha watumishi haki zao. Mtumishi...
Back
Top Bottom