hakimiliki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lameck Ditto achemka madai ya bilioni 6 dhidi ya DStv, Mahakama yasema ilitumika 'second version' na si 'original' yake

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited maarufu DStv, uamuzi ambao haujaacha kicheko kwa mlalamikaji. Ditto ambaye jina lake halisi ni Dotto Bwakeya alifungua kesi ya madai mahakamani hapo...
  2. Kushitakiwa kwa sababu ya Hakimiliki

    Hivi nikiamua kuprint shirt na kutumia picha za wasanii bila idhini yao kama Jux, Jay Melody etc nitakuwa nafanya kosa? Wanaweza kunishtaki?
  3. Wabunge wapatiwa semina kuhusu Hakimiliki

    Ofisi ya Hakimiliki nchini (COSOTA), imetoa Semina kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu majukumu na fursa zilizopo katika ofisi hiyo ikiwemo kulinda hakimiliki za Wabunifu. Semina hiyo imefanyika Mei 30, 2023 katika ukumbi wa Msekwa bungeni jijini Dodoma ambapo Waziri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…