hakunaga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    Hakunaga usawa baina ya mwanamke na mwanaume

    Anayekwambia ukweli, jua anataka upone. Maisha yetu yameandamwa sana na siasa kiasi kwamba sasa hata vitabu vya dini tunavipiga teke. Ndiyo! Tunataka kila mtu apewe usawa, watu wote wawe sawa kwenye nyanja mbalimbali. Lakini ukweli ni kwamba, anguko kubwa la mwanaume linaanzia kwa mwanamke...
  2. Brojust

    Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

    Habari la jioni dada zangu wapendwa. Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu. Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga. Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na...
  3. I

    Wasafi TV kwanini wanapiga nyimbo za Msanii aliyekataa nyimbo zake kupigwa

    Hapa naangalia Wasafi TV. Naona wanaplay nyimbo ya HAKUNAGA ya Suma Lee ambaye kwa sasa ni mfia dini alisilimu muda mrefu sana. Imekuaje wamepiga hii nyimbo wakati mwenyewe alizuia hili suala. Je, kuna kosa kama ataamua kuwashtaki wanasheria mnijibu hapa. Nawasilisha
Back
Top Bottom