Habari wakuu,Naitwa Geofrey nipo morogoro mjini,NATAFUTA KAZI YOYOTE mahalo popote,ni mtaalamu na mzoefu wa mifugo na kilimo, na afya ya binadamu. Elimu yangu ni kidato Cha sita na chuo. Course animal health/daktari wa mifugo,pia c.o na masuala ya kilimo.contact:0689339355