hali ngumu ya maisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bushmamy

    Hali ngumu ya maisha ya nyumbani ndo ilisababisha mwanafunzi kutaka kuacha shule

    Baada ya kufuatilia tukio zima la mwanafunzi wa darasa la sita kuchapwa na mwalimu wake hadi kuumia mkono, huko mkoani kilimanjaro nimegundua mambo kadhaa toka kwenye familia yake Familia anayotoka ni duni sana ,mama yake anafanya vibarua vya kufua kwa watu japo sio mara zote hupata kibarua...
  2. Mungu niguse

    Hela tunayoipata Dar nyingi tunaipeleka mikoani kusaidia ndugu zetu wenye hali ngumu ya maisha

    Ukifatilia familia nyingi zinaishi kwa kutegemea ndugu zao waliopo dar es Salaam. Hivyo mipango mikakati kwa serikali kuendelea kuwekeza DSM iendelee bila kusita. Mimi Moja ya wanafuika wa kuwa na ndugu wanaoishi DSM Asante nipo mkoani kwa sasa mbarikiwe Sana watu DSM
  3. Jack Daniel

    Hali ngumu ya maisha na tunavyoishi Kwa mazoea.

    Habari jamiiforum. Bila kupoteza muda leo tujadili hali hii ngumu ya maisha. Wakuu.maisha mtaani ni magumu,jiji la Dar es salaam ambalo pengine ndiyo kioo cha hata mikoa mingine linajumuisha watu wengi wenye vipato vya chini mno. Ukiangalia Kwa haraka haraka au ukidanganyikq na stori za...
  4. otimbiotimbi

    Ushawahi kupitia kipindi kigumu kiuchumi? Ulijikwamuaje?

    Ushawahi kupitia kipindi kigumu kiuchumi? Ulijikwamuaje?
  5. Cute Wife

    Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya

    1/7/2024 Vifo vinavyotokana na maandamano ya kushinikiza Rais Ruto aachie ngazi vyafikia 26, baada ya watu wawili zaidi kutokana na majeraha Kevin Madanga (22) ambaye alipigwa risasi 3 wiki iliyopita amefia Nakuru na Daniel Kakai (17) mwanafunzi kutoka Bungoma aliyepigwa risasi Alhamisi...
Back
Top Bottom