hali ya ajira tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Ukweli kuhusu hali ya ajira nchini

    Mimi si mpenzi sana wa kuanzisha mada kwenye mitandao ila huwa nacomment kwenye mada hasa za mpira nakupita ila kuna hili la hali ya ajira nchini tunapoelekea nchi yetu itakuwa ya ajabu sana na kazi nyingi zitafanyika bila weledi na taifa litazidi kuwa na jobless na vijana wengi wa ovyo mtaani...
  2. Gulio Tanzania

    Elimu ya shule ya msingi ndio imeleta matokeo makubwa kwa watanzania wengi kujiajiri

    Nimekuletea kitabu hichi Cha darasa la saba utakubaliana na mimi shughuli nyingi zinazofanywa na watanzania wengi kwa sasa Napendekeza somo hili lingeanza kufundishwa wanafunzi wa secondary ingeleta tija sana
  3. D

    Natangaza maamdamano ya amani kwa sisi vijana ambao hatuna mwelekeo baada ya kuhitimu vyuo. Tukutane kesho Posta

    Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani wajiuzuru. Haiwezeknani ajira hakuna, hata za ualimu au udaktari na zikitilewa ni kujuana kwa kwenda...
Back
Top Bottom