halima kurudi chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr Akili

    Pre GE2025 Ushauri: Halima Mdee na wenzake 18 taifa letu bado linahitaji michango yao ya hekima, busara na ustaarabu wa kuikosoa serikali yetu. Wajiunge ACT

    Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama...
  2. S

    Pre GE2025 Bonifae Jacob: Sio rahisi kina Mdee kurejea CHADEMA na haiwezekani kuwa siri

    Ni kuhusu madai ya Mdee na wenzake kurejea CHADEMA ambapo Boniface Jacob kuptia Mtandao wa X, kaandika hivi: SIYO RAHISI NA HAIWEZEKANI KUWA JAMBO LA SIRI...! Nimeona mjadala wa kuhusu kurejea kwa Wabunge 19 waliofukuzwa uanachama wa CHADEMA Kurejea tena ndani ya CHADEMA. lakini katika hali...
Back
Top Bottom