hamis nkua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Singida achomwa Kisu na kijana wa CCM akiwa eneo la kupiga kura

    Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Singida Mjini, Hamis Nkua, amechomwa kisu katika mkono wa kushoto begani. Akizungumza na Nipashe Digital katika Hospitali ya Rufaa ya Mandewa ya Mkoa wa Singida ,amesema amechomwa kisu leo Novemba 27, 2024 saa 8:00 mchana katika eneo la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…