KITABU ADIMU KUTOKA MAKTABA YA HAMISI HABABI
Hazina hii inatoka katika Maktaba ya Hamisi Hababi.
Hiki ni kitabu cha maisha ya Sheikh Kaluta Amri Abedi mmoja kati ya wazalendo walipigania uhuru waTanganyika.
Sheikh Amri Abedi alisoma darasa moja na Mwalimu Julius Nyerere, Tabora.
Katika...