Labda kama hamjui, hii Kanda ndio kupatikana Wanaume, wakuu wa Familia.
Mtaruka ruka wee na majiko ya gesi ya bure mnayodanganyishia Watanzania.
Lakini Kanda ya Ziwa wanajua, Gas imepanda Bei!!!
Hata hivo, Chuma aliwakataa, mkamwondoa, lakini kwa kuwa Mwenye njozi hafi, licha ya kumwondoa...