Hamza (Arabic: همزة, hamzah) (ء) is a letter in the Arabic alphabet, representing the glottal stop [ʔ]. Hamza is not one of the 28 "full" letters and owes its existence to historical inconsistencies in the standard writing system. It is derived from the Arabic letter ʿAyn (ع). In the Phoenician and Aramaic alphabets, from which the Arabic alphabet is descended, the glottal stop was expressed by alif (𐤀), continued by Alif ( ا ) in the Arabic alphabet. However, Alif was used to express both a glottal stop and also a long vowel /aː/. In order to indicate that a glottal stop is used, and not a mere vowel, it was added to Alif diacritically. In modern orthography, hamza may also appear on the line, under certain circumstances as though it were a full letter, independent of an Alif.
Leo ikiwa ni alhamisi basi ni siku ya TBT.
Huyu hapa beki kisiki anayeogopww na fowadi nzima ya Uto, Abdulrazak Hamza, hapa akiwa Mbeya City. Alikuwa na miaka 12 tu ila balaa lake lilikuwa la moto sana.
Kama hukufanikiwa kumuona Victor Costa akicheza basi wewe mtazame tu Hamza
Hamza Malik x Rajab Butt x Hira Mani - Over You Mp3 Download
"Over You" is a song by Pakistani artists Hamza Malik, Rajab Butt, and Hira Mani.
The song is a blend of pop and traditional Pakistani music, featuring heartfelt lyrics and a melodious composition.
Hamza Malik and Rajab Butt are...
Ilikuwa ni Mei 2011 kijana mdogo katika mji wa Deraa mji mdogo nchini Syria karibu na mpaka wa Jordan.
Kama ilivyo tawala zaki imla kijana huyu mwenye umri wa miaka 13 alirudishwa kwa familia akiwa amecharangwa na umeharibiwa vibaya na maofisa usalama wa Syria baada yakuwa amekamatwa kwenye...
Huyu ni raia wa hapa hapa ndani ila alikuwa anakipiga huko kwa Madiba.
Abdulrazack ni mchezaji kijana wa Kitanzania anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini kwa ubora mkubwa akiwa kwenye kikosi cha kwanza.
Abdulrazack ana umri wa miaka 21 bado ana nguvu na muda mrefu wa kucheza soka na...
Ikiwa sasa imepita takribani masiku zaidi ya thelathini ya kushindana kumwaga damu za wasio na hatia kwa pande zote, basi nimekua nikifatilia na kutafakari jinsi haki inavyotafutwa hasa kwa hii style ya jeshi la HAMASI kupambana na ISRAEL.
Mawazo yamenifanya nimkumbuke kamanda jasiri marehemu...
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka Maafisa Ardhi nchini kutoa elimu ya matumizi bora na sahihi ya ardhi ili kuepusha migogoro ya wakulima na wafugaji nchini.
Mhe. Khamis Hamza Khamis Ametoa agizo hilo wilayani Mvomero mkoani Morogoro...
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia masuala ya Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza ameiasa jamii kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI nchini kwa kuendelea kuzingatia elimu inayotolewa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI nchini ili kuunga mkono...
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ametoa wiki mbili kwa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba kukamilisha taratibu za zabuni na ununuzi wa pampu, mashine za umeme wa jua na matanki ya kuhifadhia maji ili huduma...
NAIBU WAZIRI KHAMIS WAKATI AWAPONGEZA AHMADIYYA
Taasisi za dini na viongozi wake wametakiwa kuchukua hatua stahiki katika kurekebisha mmomonyoko wa maadili unaotokana na utandawazi na matumizi yasiyofaa ya teknolojia.
Wito huo umetolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na...
Juzi nilipita maeneo ya karibu na Ubalozi wa Ufaransa nikaona bango moja limeandikwa "Kifo cha Imam Husain kinatukumbusha umuhimu wa Uhuru". Huwa nina kawaida nikiona mabango ya dini napendaga kufuatilia zaidi maandiko yale hasa kama kuna ujumbe ambao umenigusa wakati huo.
Ila kuna kitu zaidi...
Ndugu Watanzania wenzangu
Wikiendi imeenda vyama sana.
Embu kwenye kumjua Hutu jamaa wa DP World kwa Tanzania embu naomba atusadie
Nadhani sio mimi pekee nisiyemfahamuu vyema .
Maeneo ya msingi
1.Historia take
2.Tasisi alizowahi kuhudumu
3.na sasa nini Nani chini
Mwisho elimu yake...
MHE. KHAMIS HAMZA KHAMIS - FEDHA ZINATUMIKA KWA KUSIMAMIA MIONGOZO
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis (Mb) akiwa katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni yaliyoulizwa na Mhe. Zahor Mohamed Haji ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mwera
"Fedha za...
Mhe. Khamis Hamza Khamis, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kukuza utalii wa ndani ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora zenye gharama nafuu kwenye vivutio hasa huduma...
Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima.
Namshauri aliyemtuma ajitokeze, kwa kuwa anafahamika vizuri. Waziri Hamza ni kifaranga tu, na mama yake (mama kuku) ndiye aliyempa hadhi...
Ikiwa ni chini ya mieze sita tangu kijana mwenye asili ya Tanzania aitwaye Rishi Sunak kushika uwazir mkuu wa Uiengereza.Kijana mwengine mwenye umri wa miaka 37 aitwaye Humza Yousaf wa chama cha SNP huko Scotland ana dalili zote za kuchakuliwa kuwa waziri wa mwanzo jimboni humo.
Hiyo inafuatia...
HARRY BELAFONTE NA HAMZA AZIZ
Hamza Aziz kazaliwa Mtaa wa Kipata mtaa ambao mimi nimezaliwa.
Babu yangu Salum Abdalah alikuwa na nyumba Mtaa wa Mbaruku jirani na nyumba ya Aziz Ali baba yake Hamza na Dossa Aziz.
Kwa ajili hii Hamza Aziz wamejuana na baba yangu toka udogoni kwao.
Hamza Aziz...
KIKAO CHA KUUNDA TANU NYUMBANI KWA HAMZA KIBWANA MWAPACHU NANSIO, UKEREWE 1953
Ilikuwa miezi ya mwanzo ya mwaka wa 1953 kabla ya kufika April, 1953.
Abdul Sykes Act. President na Secretary wa TAA akifuatana na Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa...
Ndugu wadau, kama kweli jeshi letu la polisi limefanya mambo haya, ninashauri iundwe tume ilichunguze hili jeshi.
Na pia hata like la Hamza lilikuwa na mtazamo kama huu, pia lingerudishwa lichunguzwe upya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.