hanstone

  1. Hanstone is way better than Marioo

    To be honest Hanstone is waaay better than Marioo
  2. Hanstone atatoboa nje ya WCB?

    Kwanza lazima tukubaliane huyu dogo ana kipaji kikubwa sana. Ndio maana wengi walikuwa wanasubiri ujio wake akiwa chini ya WCB. Na ilitegemewa ujio wake ungekuwa na kishindo. Lakini bahati mbaya amezinguana na uongozi wa Wasafi na baada ya hapo akaachia ep yake ya Amazing. EP yake japo...
  3. Hanstone aachia EP nje ya WCB.....aacha maswali mengi

    Wakati watu wanasubiria msanii anaefatia kutambulishwa WCB ni Hanstone yule wa kwenye Iokote. Muda sio mrefu ameachia EP yake bila kuwa chini ya management ya WCB Wasafi. Maswali yamekuwa ni mengi sana. Je ameshindwa kuvumilia msoto wa benchi kama mwenzie Zuchu? Au WCB walichoka matukio yake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…