hapi

Hapi House! is a family situational comedy television series in the Philippines that was aired on IBC from 1987 to 1990. It starred Tito Sotto, Sandy Andolong, Chuckie Dreyfus, Isabel Granada, Laura Hermosa and Aga Muhlach. It was a Filipino version of American sitcom, Our House.
Reruns of the series was aired on IBC from February 11 to July 19, 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. Nileteeni Ally Hapi

  2. Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

    Video inajieleza
  3. CCM imeanza kupasuka, Ally Hapi na Mwita Waitara wanatuhumiana kupiga madili ya ufisadi

    Uchaguzi wa 2025 utakuwa na mtafaruku sana. Huko Mkoani mara tayari Ally Hapi anadaiwa kupiga ufisadi mkubwa huku yeye akidai ni Mbunge wa Tarime ndie fisadi na amemzibia madili. Mbunge Mwita anadai anazibiwa fursa ili shughuli zake za ubunge zisiende sawa ili ahujumiwe kwenye uchaguzi 2025
  4. F

    Ally Hapi: Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa, uteuzi wake ni sahihi

    Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka kuachana na mambo ya nyuma. Kauli yake hii inakuja kutokanana na swali aliloulizwa na wanahabari nje ya ya...
  5. Mara: RC Hapi Awasimamisha Kazi Watendaji; Asema Kazi Inaendelea

  6. Ally Hapi ajitetea kama mbogo aliyejeruhiwa

    Baada ya mh Rais Samia kupiga indiketa ya kuutumbua uongozi wa mkoa wa Mara, leo Ally Hapi katumia jukwaa vizuri kujitetea. Pamoja na ukweli kuwa Ally Hapi angeweza kuyatatua yote aliyomwomba Rais , lakini wachunguzi wa mambo wanafikiri Ally Hapi bado hajawiva kiuongozi. Wakurugenzi ndani ya...
  7. U

    RC Hapi aswalisha suala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Musoma Mara

    Wadau wa JF Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Hapi ameshiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa uliopo Musoma Mkoani Mara Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mara Msabaha Kassimu alimpa nafasi ya Kuswalisha Mheshimiwa Hapi Mheshimiwa Hapi baada ya suala alitoa hotuba na alihimiza Umoja...
  8. RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

    Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote. Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa...
  9. Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

    Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya. Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji. Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…