Kama Kuna vijana wanapitia hali ngumu ya kimaisha basi ni pamoja na vijana wa kitanzania.
Just imagine kijana hanakwambia hana mpango wa kuoa kama ni upwiru atachukua buku Tano anakwenda kumalizia kwa dada poa na maisha yanaendelea.
Vijana wengi wa kitanzania hawana vyanzo vya kimapato zaidi...
Ndugu zangu Wana jukwaa hili. Nategemea kutoa andiko kwa vijana. Kutokana na uzoefu wako naomba unisaidie kujibu haya maswali yangu.
1. Ni jinsi gani kijana anatakiwa aishi ili kuwa na furaha bila uchumi/kipato?
2. Ni jinsi gani kijana anatakiwa kutafuta uchumi/kipato ili aishi kwa furaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.