Hata Hayati Magufuli alijulikana sana alipobinafsisha Nyumba za serikali Maneno yakawa mengi na kila mtu akamjua
Siasa ni Watu wakujue kwanza iwe kwa wema au ubaya kisha baadae unatenda mema na mema kuelekea Kiti cha enzi
Sasa kila mtu anamjua Mpina na ukifika uchaguzi 2030 hatahitaji kutumia...
Ninakupongeza sana Mhe. Mpina kwa taarifa yako iliyo na ukweli ndani yake na kwa kweli umetufumbua maacho wananchi jinsi tunavyonyonywa na watu wachache wasio waaminifu.
(1) Sukari tunayouziwa wachache wameweka chao cha juu Tshs.1,000 kama alivyotamka Tundu Lissu.
(2) Kampuni za stationery...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.