Chadema kama kundi hawawezi kuleta Ukombozi wowote ila Mwanachama mmoja wa Chadema aliyejitoa Sauti yake inaweza kumfikia Mungu wa Mbinguni
Kwa mfano Shujaa Magufuli alijitoa Sadaka yeye binafsi kwa ajili ya Taifa hili
Shetani ndio hukusanya Umati mkubwa wa Watu Ili awaingize kuzimu lakini...
Kwamba hawa nao tumawapa majukwaa ya kisiasa na kuwashangilia?
Kwamba tuna hata wenye kujidhania kuwa ni wenye hoja kuliko hata wenye CV zao zinazojulikana kimataifa?
Kwamba tumefikia hatua ya kuwaacha hata wapuuzi kuwanyanyapaa wenye akili zao?
Na Bado tupo tupo tunakenua? Ama kwa hakika...