harambee

Harambee is a Kenyan tradition of community self-help events, e.g. fundraising or development activities. The word means "all pull together" in Swahili, and is the official motto of Kenya, appearing on its coat of arms. The word was assimilated into the Swahili language from Hindi at the time of the building of the Uganda Railway from Mombasa to Kampala. Indian labourers used the phrase "har har Ambey," or, "hail Ambey"–an exhortation to Amba, the Hindu Goddess – when performing difficult tasks that often required more than one person to be involved, such as lifting heavy loads.Harambee events may range from informal affairs lasting a few hours, in which invitations are spread by word of mouth, to formal, multi-day events advertised in newspapers. These events have long been important in parts of East Africa, as ways to build and maintain communities.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Nsekela aongoza harambee shule za Marian, Bagamoyo

    Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kulia) akilisalimiana na Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kadinali Polycarp Pengo wakati alipowasili kwenye viwanja vya michezo vya Bongololo vya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Marian mjini...
  2. J

    Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamechangia Tsh 9 million harambee ya ujenzi wa Kanisa

    Wabunge maarufu wa viti Maalum Halima Mdee na Esther Bulaya kwa pamoja wamechangia Tsh 9 million kwa ajili ya Ujenzi wa Kanisa Mungu wa mbinguni awabariki Chanzo: Clouds Media
  3. Harambee ya ujenzi wa maabara tatu za Seka Sekondari - Jimbo la Musoma Vijijini

    HARAMBEE YA UJENZI WA MAABARA TATU ZA SEKA SEKONDARI - JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI Seka Sekondari ni shule mpya ambayo kwa sasa ina wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha Tatu ( FI - FIII). Jumla ya WANAFUNZI ni 344, na WALIMU wapo wanane (8) Sekondari hii ilijengwa baada ya kubaini kwamba...
  4. Harambee za kuchangia ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya sekondari za kata - Jimbo la Musoma Vijijini

    Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374. Jimbo hili lina jumla ya Sekondari 27: Shule 25 za Kata/Serikali Shule 2 za Binafsi (SDA & KATOLIKI) UPUNGUFU WA MIUNDOMBINU Tunaendelea na ujenzi na uboreshaji wa miundombimu iliyopungufu kwenye Sekondari zetu za Kata...
  5. Namna ya kuandaa TUKIO kwa Ajili ya Harambee (Event-Based Fundraising)

    Matukio kwa ajili ya harambee (events - based fundraising) ni miongoni mwa njia zitumikazo na Taasisi kwenye ukusanyaji wa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi au Programu. Matukio huiwezesha Taasisi kuwa karibu na wafadhili pia husaidia kuufahamisha umma juu ya kile ambacho Taasisi inataka...
  6. F

    Tanzania kila kata hatuwezi fanya harambee za kuboresha shule zetu?

    Habari wadau. Kwanini tusifanye harambee kuboresha shule zetu ili vizazi vyetu vipate elimu bora na kupata taifa la wenye akili. Kuna uzi humu kanisani kijitonyama milioni 300 ya kununua nyumba ya mchungaji ilichangwa nusu saa tu. Nikawaza watoto wanaosali hapo kanisani je wote wanapata elimu...
  7. L

    UVCCM endesheni Harambee ya kuwachangia wafanyabiashara wa Karume waliopata hasara ya moto

    Kutokana na hasara kubwa waliopata wafanyabiashara wa soko la Karume baada ya ajali ya moto ni busara na ubinadamu wa hali ya juu Umoja wa Vijana wa CCM ufanya harambee ya kuchangisha pesa kwa ajili ya kuwapunguzia machungu wahanga hawa wa moto. Najua UVCCM wanna ushawishi mkubwa kwa viongozi...
  8. CHADEMA yaanzisha Harambee ya kuchangia familia za walioshitakiwa kwa ugaidi

    Taarifa ya sasa inaeleza kwamba Chadema kupitia BAWACHA inawaomba wananchi wote kuchangia Familia za Makomandoo Adamoo na wenzake, walioshitakiwa kwa tuhuma za ugaidi, ambao inadawa ulifadhiliwa na mshitakiwa mwenzao Freeman Mbowe kwa kitita cha Tsh Laki 6. Tayari mchakato wa kampeni hiyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…