https://www.youtube.com/live/3CV9o7c2fo8?si=_pUk3LIG7gbkpfIq
Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) Wakili Harold Sungusia amewataka washiriki wa Mdahalo wa wazi juu ya mchakato wa kupata katiba Mpya Tanzania kuangalia maslahi mapana ya Taifa na sio maslahi binafsi,au maslahi ya Taasisi,Dini...
Tulitegemea utoe kauli juu ya kukamatwa Kwa hawa akina Slaa et al. Unakwenda Ikulu kupokea viwanja na kuomba uteuzi.
Uliaminiwa sana na waliikuchagua, sasa umewasaliti.
Kwa vipade vya fedha (kiwanja for that matter) huwezi kuyakemea mapungufu ya Samia
Kuna burning issue ya haki za watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.