harris kamala

  1. comte

    Uchaguzi wa CHADEMA unaakisi uchaguzi wa Harris Kamala na Trump utaisha kama sinema

    https://www.yahoo.com/news/american-battleground-single-state-took-120042230.html
  2. comte

    Kampeni za Harris Kamala zimetuonyesha nani wa kuongea naye wakati wa kampeni

    “There’s just no value — with respect to my colleagues in the mainstream press — in a general election, to speaking to The New York Times or speaking to The Washington Post, because those [readers] are already with us,” deputy campaign manager Rob Flaherty said during an extensive interview with...
  3. britanicca

    Nimekutana na hii ufanano wa Rais Samia na Makamu wa Rais Kamala

    Kuna ka mfanano kati ya Kamala Harris na Samia suluhu 1. Wote ni wanawake ambao wamekuwa Makamu wa Rais wa nchi zao kwa Mara ya kwanza 2. Wote wamerithi kugombea kiti cha Urais kutokana na wenza wao ama kufa au kukosa nguvu za kuendelea na uongozi 3. Wote wanategemea Propaganda sana katika...
  4. Nandagala One

    Samia kukinywea kikombe cha Harris Kamala Uchaguzi Mkuu 2025

    Heshima kwenu wakuu. Natanguliza conflict of interest. Mwaka 2025, endapo Kassim Majaliwa hatakuwa mgombea, basi Samia ajiandae kwa yaliyomkuta Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, ambaye alijaribu kugombea urais baada ya Rais Joe Biden kujiuzulu. Samia alichukua urais kwa kurithi baada...
  5. britanicca

    Donald Trump ashinda Urais wa Marekani kwa 51.05% dhidi ya Harris Kamala aliyepata 47.46%

    Imetangazwa dakika chache zilizopita na vyombo vya Habari ===== UPDATES: ===== Rais wa zamani Donald Trump kutoka chama cha Republican, ameshinda Uchaguzi wa Marekani. Chanzo: Spectator Index Donald Trump ameoa mara tatu, Ivana na Marla Maples, mke wa kwanza na wa pili mtawalia ambao wote...
  6. B

    Baada ya Wamarekani kumkataa Harris Kamala, 2025 Watanzania wanajua cha kufanya

    Wazee baada ya Kamala haris kupigwa na kitu kizito sasa kituo kinachofata ni Tanzania. Waswahili husema mwenzako akinyolewa na wewe tia maji. Baada ya siasa za Tanzania kudumaa na kushindwa kubadilisha maisha ya watanzania ikiwemo hali mbata ya uchumi, bei za bidhaa kupanda juu, Thamani ya...
  7. W

    Uchaguzi wa Marekani 2024: Je, Trump na Harris wana sera gani?

    Zikiwa zimebaki wiki chache kabla ya uchaguzi mkuu wa Marekani mwezi Novemba, ni wakati wa kuzielewa sera kati ya Makamu wa Rais wa chama cha Democratic, Kamala Harris na Donald Trump wa Republican. Sera za Harris Kamala vs Trump 1. Mfumuko wa Bei Harris anasema kipaumbele chake kitakuwa ni...
Back
Top Bottom