Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
afrika kusini
duniani
harrisonmwakyembe
maana
makonda afrika kusini
makonda apewa sumu
makonda mtoto pendwa
mbinguni
mtoto pendwa
mwakyembe
paul makonda
toto pendwa tanzania
Wakati wa mjadala mkali wa kashfa ya Richmond bungeni, huku tume iliyochunguza kashfa hiyo ikibanwa kuwa haikutoa nafasi kwa watuhumiwa hasa Lowassa kujitetea, aliibuka mwenyekiti wa tume ile Mwakyembe na kusema kuwa kama watu hawaridhiki waombe kanuni zitenguliwe ili aweze kuwasilisha upya...
YUKO WAPI MWAKYEMBE YULE WA RICHMOND?
Madaraka yana tabia moja mbaya sana hususani kwa Waafrika. Tabia hii mbaya ya madaraka ni kulevya. Madaraka ni kama Pombe tu, wengi wanashindwa kuyanywa kwa ustaarabu, wanajikuta wanakuwa ni walevi wa kupindukia wa madaraka. Viongozi wengi wanasumbuliwa na...
Na KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA imemuachia huru mfanyabiashara Naeem Adam Gire, aliyekuwa akikabiliwa na makosa mawili, likiwamo la kughushi hati ya uwakilishi wa Kampuni ya Richmond LLC ya Texas, Marekani, hapa nchini.
Uamuzi huo, uliotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya...
HOJAJI
1. Kwamba amekiri kuwa ALILIDANGANYA Bunge
Je, Ambacho HAKIKUWA cha kweli katika taarifa ile ya kamati ni kipi?
Je, alidanganya kwa faida ya nani?
Kama hakuona haja ya kumhoji mtuhumiwa kwa kuwa ushahidi ulikuwa wazi, Je ni ushaidi upi ambao ulikuwa wazi? Je nao ni miongoni mwa UONGO?
2...
Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni.
Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona!
Dk Mwakyembe, Nassari wapimana
Waziri wa Habari...
Wakuu,
Naomba nikiri kati ya mawaziri niliowaamini kwenye awamu hii ya tano ni huyu Mwakyembe. Kinachotokea sasa nabaki mdomo wazi, yeye ni mtu wa kuwaza tumbo lake tu (anauwezo wa kukataa hata jina lake huko tunakoenda).
Kwenye bunge la katiba alianza kuonesha haya mambo ya ajabu, alikuwa...
Mwakyembe pogoes to debase fellow lawyers as callow demagogues during the fateful constitutional debacle but most of his roadside bombshells tell us more about himself than his intended victims. He holds no grudge barred when he contemptuously criticized lawyers behind the anti-CCM...
Wanajamvi,
Ni ukweli usiopingika kuwa Watz tumeumia sana na bado tunaendelea kuumia kutokana na lile JANGA LA RICHMOND ambalo liliisababishia serikali hasara kubwa sana ya kulipa Tsh.152ml. kila siku miaka miwili mfululizo bila kupata hata MW 1 ya umeme
Dr.H.Mwakyembe akiwa m/kiti wa tume...
Dr. Mwakyembe na Powerpool: Kuna mgongano wa maslahi na Dowans/Richmond?
Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Toleo No. 4689 la tarehe 15 Machi 2009 chini ya kichwa cha habari "Dk. Mwakyembe Aumbuliwa" imeripotiwa kuwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mmoja wa wamiliki wa kampuni ya kufua umeme na ndio...
- Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji (Gazeti la Majira)
Na Rehema Mwakasese
Soma
Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond
Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani
na Mwandishi Wetu | Tanzania daima
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika, amesema hana tatizo licha ya kutakiwa kujiuzulu na Kamati Teule ya Bunge, iliyopewa kazi ya kuchunguza mchakato wa zabuni ya Kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond.
Aidha, Mwanyika alishindwa kuweka...
Ni kuwa mjadala wa Richmond ndio unaanza japo mbunge wa Kigoma Mjini ndugu Peter Serukamba alimtaka spika kumpa ufafanuzi kwanza kuwa ni kwanini Waziri mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea kwenye kamati husika.
Waziri mkuu kaamua kujitoa kwenye meza na amekuwa mchangiaji wa kwanza kuchangia...
Mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge jana jioni, Waziri Mkuu aliitisha kikao cha Mawaziri na Manaibu wao akidai ni kikao cha KIKAZI.
Katika kikao hicho aliwaambia kwamba serikali ilikua na nia njema katika suala zima la Richmond na kwamba mawaziri wanaothubutu kushabikia ripoti ya Richmond...
Hapo nyuma nilielezea kuwa Tanzania government procurement is very complicated na complication yenyewe inaletwa na mambo ya rushwa. Serikali wanawajua GE, Wartsila, CAT, Mits, nk. Hizi kampuni zina special working relationship na governments worldwide. This is because Power/Enegy sector is a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.