harrison mwakyembe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi? Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu. Britanicca.
  2. Mwakyembe alitumika kumuumiza Lowassa kwenye kashfa ya Richmond

    Wakati wa mjadala mkali wa kashfa ya Richmond bungeni, huku tume iliyochunguza kashfa hiyo ikibanwa kuwa haikutoa nafasi kwa watuhumiwa hasa Lowassa kujitetea, aliibuka mwenyekiti wa tume ile Mwakyembe na kusema kuwa kama watu hawaridhiki waombe kanuni zitenguliwe ili aweze kuwasilisha upya...
  3. Huyu kweli ndio Mwakyembe wa Richmond? Huyu ndio aliomba aombewe apone na leo anakataza asiulizwe Azory Gwanda?

    YUKO WAPI MWAKYEMBE YULE WA RICHMOND? Madaraka yana tabia moja mbaya sana hususani kwa Waafrika. Tabia hii mbaya ya madaraka ni kulevya. Madaraka ni kama Pombe tu, wengi wanashindwa kuyanywa kwa ustaarabu, wanajikuta wanakuwa ni walevi wa kupindukia wa madaraka. Viongozi wengi wanasumbuliwa na...
  4. Kigogo Richmond aibwaga serikali kortini, ndo naelewa kwanini Mwakyembe/CCM hawaendi mahakamani

    Na KULWA MZEE, DAR ES SALAAM MAHAKAMA imemuachia huru mfanyabiashara Naeem Adam Gire, aliyekuwa akikabiliwa na makosa mawili, likiwamo la kughushi hati ya uwakilishi wa Kampuni ya Richmond LLC ya Texas, Marekani, hapa nchini. Uamuzi huo, uliotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya...
  5. Swali kwa Mwakyembe: Ina maana alilidanganya Taifa juu ya Richmond? Ukweli upi atauleta ulio kweli?

    HOJAJI 1. Kwamba amekiri kuwa ALILIDANGANYA Bunge Je, Ambacho HAKIKUWA cha kweli katika taarifa ile ya kamati ni kipi? Je, alidanganya kwa faida ya nani? Kama hakuona haja ya kumhoji mtuhumiwa kwa kuwa ushahidi ulikuwa wazi, Je ni ushaidi upi ambao ulikuwa wazi? Je nao ni miongoni mwa UONGO? 2...
  6. Mwakyembe awatega wabunge CHADEMA, awaambia wakitaka ukweli warudishe hoja ya Richmond Bungeni

    Waziri wa habari Harrison Mwakyembe amewambia wabunge wa chadema kama wanataka ukweli wa ufisadi wa Richmond warudishe hoja hiyo bungeni. Haya sasa karibuni kukanyagana maana hii hoja ni mwiba ambao watu wengine hawatakaki hata kuuona! Dk Mwakyembe, Nassari wapimana Waziri wa Habari...
  7. Kwa mwenendo wa Mwakyembe, Richmond tuna mashaka nayo

    Wakuu, Naomba nikiri kati ya mawaziri niliowaamini kwenye awamu hii ya tano ni huyu Mwakyembe. Kinachotokea sasa nabaki mdomo wazi, yeye ni mtu wa kuwaza tumbo lake tu (anauwezo wa kukataa hata jina lake huko tunakoenda). Kwenye bunge la katiba alianza kuonesha haya mambo ya ajabu, alikuwa...
  8. Mwakyembe's Dar railways project bears the hallmarks of the Richmond/DOWANS dejavu!

    Mwakyembe pogoes to debase fellow lawyers as callow demagogues during the fateful constitutional debacle but most of his roadside bombshells tell us more about himself than his intended victims. He holds no grudge barred when he contemptuously criticized lawyers behind the anti-CCM...
  9. Nani anatakiwa kutuambia ukweli kuhusu Richmond kati ya Lowassa na Dr. Mwakyembe?

    Wanajamvi, Ni ukweli usiopingika kuwa Watz tumeumia sana na bado tunaendelea kuumia kutokana na lile JANGA LA RICHMOND ambalo liliisababishia serikali hasara kubwa sana ya kulipa Tsh.152ml. kila siku miaka miwili mfululizo bila kupata hata MW 1 ya umeme Dr.H.Mwakyembe akiwa m/kiti wa tume...
  10. Dr. Mwakyembe na Powerpool: Kuna mgongano wa maslahi na Dowans/Richmond?

    Dr. Mwakyembe na Powerpool: Kuna mgongano wa maslahi na Dowans/Richmond? Kwa mujibu wa gazeti la Mtanzania Toleo No. 4689 la tarehe 15 Machi 2009 chini ya kichwa cha habari "Dk. Mwakyembe Aumbuliwa" imeripotiwa kuwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mmoja wa wamiliki wa kampuni ya kufua umeme na ndio...
  11. M

    Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji

    - Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji (Gazeti la Majira) Na Rehema Mwakasese Soma Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani
  12. Mwanyika: Sihusiki na kashfa ya Richmond

    na Mwandishi Wetu | Tanzania daima MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika, amesema hana tatizo licha ya kutakiwa kujiuzulu na Kamati Teule ya Bunge, iliyopewa kazi ya kuchunguza mchakato wa zabuni ya Kampuni ya kuzalisha umeme wa dharura ya Richmond. Aidha, Mwanyika alishindwa kuweka...
  13. Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Ni kuwa mjadala wa Richmond ndio unaanza japo mbunge wa Kigoma Mjini ndugu Peter Serukamba alimtaka spika kumpa ufafanuzi kwanza kuwa ni kwanini Waziri mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea kwenye kamati husika. Waziri mkuu kaamua kujitoa kwenye meza na amekuwa mchangiaji wa kwanza kuchangia...
  14. Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

    Mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge jana jioni, Waziri Mkuu aliitisha kikao cha Mawaziri na Manaibu wao akidai ni kikao cha KIKAZI. Katika kikao hicho aliwaambia kwamba serikali ilikua na nia njema katika suala zima la Richmond na kwamba mawaziri wanaothubutu kushabikia ripoti ya Richmond...
  15. I

    Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

    Hapo nyuma nilielezea kuwa Tanzania government procurement is very complicated na complication yenyewe inaletwa na mambo ya rushwa. Serikali wanawajua GE, Wartsila, CAT, Mits, nk. Hizi kampuni zina special working relationship na governments worldwide. This is because Power/Enegy sector is a...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…