harry

Harry Potter is a series of seven fantasy novels written by British author J. K. Rowling. The novels chronicle the lives of a young wizard, Harry Potter, and his friends Hermione Granger and Ron Weasley, all of whom are students at Hogwarts School of Witchcraft and Wizardry. The main story arc concerns Harry's struggle against Lord Voldemort, a dark wizard who intends to become immortal, overthrow the wizard governing body known as the Ministry of Magic and subjugate all wizards and Muggles (non-magical people).
The series was originally published in English by Bloomsbury in the United Kingdom and Scholastic Press in the United States. All versions around the world are printed by Grafica Veneta in Italy. A series of many genres, including fantasy, drama, coming-of-age fiction, and the British school story (which includes elements of mystery, thriller, adventure, horror, and romance), the world of Harry Potter explores numerous themes and includes many cultural meanings and references. According to Rowling, the main theme is death. Other major themes in the series include prejudice, corruption, and madness.Since the release of the first novel, Harry Potter and the Philosopher's Stone, on 26 June 1997, the books have found immense popularity, positive reviews, and commercial success worldwide. They have attracted a wide adult audience as well as younger readers and are often considered cornerstones of modern young adult literature. As of February 2018, the books have sold more than 500 million copies worldwide, making them the best-selling book series in history, and have been translated into more than eighty languages. The last four books consecutively set records as the fastest-selling books in history, with the final instalment selling roughly 2.7 million copies in the United Kingdom and 8.3 million copies in the United States within twenty-four hours of its release.
The original seven books were adapted into an eight-part namesake film series by Warner Bros. Pictures. In 2016, the total value of the Harry Potter franchise was estimated at $25 billion, making Harry Potter one of the highest-grossing media franchises of all time. Harry Potter and the Cursed Child is a play based on a story co-written by Rowling.
The success of the books and films has allowed the Harry Potter franchise to expand with numerous derivative works, a travelling exhibition that premiered in Chicago in 2009, a studio tour in London that opened in 2012, a digital platform on which J. K. Rowling updates the series with new information and insight, and a pentalogy of spin-off films premiering in November 2016 with Fantastic Beasts and Where to Find Them, among many other developments. Themed attractions, collectively known as The Wizarding World of Harry Potter, have been built at several Universal Parks & Resorts amusement parks around the world.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Prince Harry aripotiwa kumuomba talaka Meghan Markle. Prince Harry atapeleka wapi sura yake?

    Wakuu, Hivi Prince Harry atapeleka wapi sura yake? Baada ya kuitosa familia yake nzima ikiwemo Prince Charles na kaka yake Prince William na kuhamia Marekani, imeripotiwa hivi karibuni kuwa Harry tayari ameomba talaka kutoka kwa Meghan. Harry na Meghan bado hawajathibitisha taarifa hizi...
  2. Mohamed Said

    Hamisi Delgado na Harry Belafonte

    Leo Maktaba imetembelewa na Hamisi Delgado rafiki yangu toka ujana wetu. Yeye si mgeni hapa Maktaba ingawa kaondoka hapa nyumbani miaka mingi sana. Lakini akija sharti aje kunikagua. Leo katika mazungumzo kanikumbusha Harry Belafonte na Sidney Poitier walivyokuja Dar es Salaam mwaka wa 1973...
  3. kipara kipya

    Harry Kane ana gundu!

    Harry Kane amewatia gundu wenzie mpaka kombe wamelikosa kama alivyowapelekea gundu Bayern Munich wakakosa ubingwa msimu uliopita na sasa kwa mara nyingine vijana walipambana lakini mkosi aliokuwa nao kane ni hatari sana imefika kipindi apumzike ili awaachie vijana wabebe kombe tu.
  4. Ghost MVP

    Prince Harry Adai Kukosa haki Ya Ulinzi Akiwa UK

    Prince Harry "bila uhalali, ametendewa vibaya kuliko wengine" juu ya mipango yake ya usalama na ulinzi wake wakati yuko Uingereza. "The Duke of Sussex" anachukua hatua za kisheria dhidi ya Ofisi ya Mambo ya Ndani juu ya uamuzi wa Februari 2020 ambao ulimaanisha kuwa hatapewa tena "kiwango...
  5. JanguKamaJangu

    Harry Kane anazidi kung’ara, afikisha magoli 17 katika mechi 11 Bundesliga

    Straika wa Bayern Munich, Harry Kane ameendelea kuwa na mwanzo mzuri katika klabu yake mpya baada ya kufikisha magoli 17 katika Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundeslia) ndani ya michezo 11 Msimu wa 2023/24 na kuwa mchezaji wa kwanza kufikia mafanikio ya magoli hayo katika ligi hiyo. Amefikisha idadi...
  6. L

    Hili linasikitisha sana na kufurahisha pia - Maisha Ya Harry Maguire

    🎯HILI LINASIKITISHA SANA NA KUFURAHISHA PIA. By Lackson Tungaraza ♦️Pichani ni mchezaji wa mpira wa miguu katika kilabu ya Manchester United iliyopo Uingereza. Jina lake ni HARRY MAGUIRE na anacheza katika nafasi ya beki wa kati. Harry Maguire alisajiliwa kwa pesa nyingi sana katika kilabu...
  7. JanguKamaJangu

    Harry Maguire atishia kuondoka Man United katika dirisha la Januari

    Beki wa kati wa Manchester United, Harry Maguire ametoa kauli ya kuwa kama ataendelea kupata nafasi ndogo ya kucheza chini ya Kocha Erik ten Hag basi atafikiria kuondoka Januari 2024. Maguire, ambaye alitoa asisti ya goli la ushindi katika mechi iliyopita dhidi ya Brentford, amesema "Siwezi...
  8. R

    Mashabiki wa filamu za Harry Potter waomboleza kifo cha Sir Michael Gambon (Professor Dumbledore)

    Taarifa za kifo cha muigizaji huyu Sir Michae Gamboni maarufu kama Professor Albus Dumbledore kilitangazwa na familia yake jana tar 28/9/2023. Mwigizaji Sir Michael Gambon amefariki kwa amani hospitalini akiwa na umri wa miaka 82, familia yake ilisema. Sir Michael alikuwa maarufu kwa mashabiki...
  9. JanguKamaJangu

    Ten Hag ‘achanganyikiwa’ kwa kukosa timu ya kumnunua Harry Maguire na wengine kadhaa

    Ten Hag ‘achanganyikiwa’ kwa kukosa timu ya kumnunua Harry Maguire na wengine kadhaa Kocha wa Manchester United, Erik ten Hag yupo anaumizwa kichwa na hali ya klabu yake kushindwa kuwauza wachezaji ambao hawapo kwenye mipango yake huku muda wa kuelekea kufungwa kwa dirisha la usajili...
  10. S

    Harry Kane muda wowote atajiunga na Bayern Munich FC

    Baada ya Miaka 13 akichezea spurs na muda mfupi akitumikia Leicester city , Norwich city, Millwall na Leyton orient kwa mkopo hatimaye Harry Kane anakwenda kuchezea Bayern Munich fc. Dau la uhamisho ni dola milioni 110 . --- Tottenham have accepted an offer from Bayern Munich for Harry Kane...
  11. BigTall

    Manchester United yakataa ofa ya West Ham kumsajili Harry Maguire

    Klabu ya Manchester United imekataa ofa hiyo ya Pauni Milioni 20 (Tsh, Bilioni 63) kwa kuwa inaamini ni dau la chini na imeweka wazi thamani ya beki huyo wa kati kwa sasa ni Pauni Milioni 35 (Tsh Bilioni 110) Kocha wa West Ham, David Moyes anataka kuwasilini Maguire pamoja na kiungo mwingine...
  12. JanguKamaJangu

    Harry Maguire kupoteza unahodha Man United

    Inadaiwa kuwa beki huyo wa kati anayehusishwa kuondoka ndani ya Manchester United hata ikitokea akabaki kikosini anaweza kupoteza cheo cha kuwa nahodha mkuu wa timu badala yake nafasi hiyo ikaenda kwa Bruno Fernandes. Uamuzi huo unatarajiwa kufanyika wiki hii kutokana na Kocha wa United, Erik...
  13. 2 of Amerikaz most wanted

    Mafanikio ni maandalizi

    Tuwaandae watoto wetu, ndugu, jamaa na marafiki katika kutimiza ndoto na malengo yao Vinginevyo au basi.
  14. Mohamed Said

    Harry Belafonte, Sidney Poitier, Miriam Makeba na Sal Davis: Kenya Independence Celebrations 1963

    HARRY BELAFONTE, MIRIAM MAKEBA, SIDNEY POITIER AND SAL DAVIS KENYA INDEPENDENCE CELEBRATIONS 1963 Nakuwekeni kipande hiki kama kumbukumbu ya Harry Belafonte kama nilivyoelezwa na Sal Davis. Nilimwambia Sal Davis siku moja tukae kitako tuandike maisha yake. Akanikubalia. Haya yalitokea baada...
  15. Mohamed Said

    Harry Belafonte na Hamza Aziz

    HARRY BELAFONTE NA HAMZA AZIZ Hamza Aziz kazaliwa Mtaa wa Kipata mtaa ambao mimi nimezaliwa. Babu yangu Salum Abdalah alikuwa na nyumba Mtaa wa Mbaruku jirani na nyumba ya Aziz Ali baba yake Hamza na Dossa Aziz. Kwa ajili hii Hamza Aziz wamejuana na baba yangu toka udogoni kwao. Hamza Aziz...
  16. Mohamed Said

    Harry Belafonte Miaka 96

    HARRY BELEFONTE MIAKA 96 Miaka ya mwanzoni 1970s nilikuwa napita nje ya ofisi ya British Airways. Mbele yangu nikawaona Harry Belafonte na Sidney Poitier wanatoka katika ofisi hiyo. Itaendelea... Nikawasogelea karibu nikawasalimia na kuomba autograph zao. Nilikuwa sina karatasi nikatoa...
  17. 100 others

    Wako wapi waigizaji wa Harry Potter and the sorcerer's stone sasa hivi?

    Kwa wale wafuatiliaji wa filamu mnakumbuka Harry Potter and the Philosopher’s Stone au kwa jina lingine Harry Potter and the Sorcerer's Stone Moja ya filamu ambayo niliikubali sana, hii filamu ilitoka mwaka 2001, hivi ndivyo waigizaji wa filamu hii walivyo sasa. Dudley Dursley (Harry Melling)...
  18. B

    Kumwelewa Mbowe au CHADEMA si kwa kila mtu

    Wamesikika chawa wa Mama wakijinasibu na tafsiri zao kuhusiana na alichosema Mbowe Mwanza. Kwamba Mbowe kalazimika kusema kushughulika na CCM ni kama hivi: Na bado chawa wa Mama wanakenua? Wanaelewa uzito wa kauli kama hii ukizingatia Mbowe ni mtu mzima mwenye familia yake? Si kuwa kauli...
  19. BARD AI

    Prince Harry anasema alitumia Cocaine lakini hakuipenda

    Mtoto wa Mfalme Charles na hayati Princes Diana, Prince Harry anakiri katika kitabu chake kipya kuwa aliwahi kutumia dawa za kulevya aina ya Cocaine akiwa na umri wa miaka 17, lakini anasema "haikuwa ya kufurahisha sana". Matukio hayo yanaonekana kuja baada ya babake, Mfalme Charles III...
Back
Top Bottom