Sijui kama mshaligundua hilo
siku hizi jirani akipika wali huwezi kujua, sio kama miaka ya 90 huko mtu akikorofisha madiko diko basi watoto hatulali..
Tukija kwenye Ngunga ishu ni ile ile, hakuna ladha kabis wala ile harufu yake ya kuvutia.
vyakula vya leo ni kama tunakula ganda la mua la jana