Wakuu habari.
Harakati za pimbi(kutafuta ridhiki) nimejikuta nafanya kibarua(casual) kwenye processing plant ya dhahabu. Ambako mda wote tunashinda tumevaa gambuti na baada ya kazi tunaenda kuoga chapu ndani ya dk 5 inatakiwa uwe ushamaliza kuoga uko kwenye usafiri unarudi nyumbani.
Kwa kadhia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.