Kwa nini watoto hulia?
Naamini kwamba tukiwachukua akina mama kumi wenye watoto wadogo na kuwauliza ni sababu zipi zinazopelekea watoto wao kulia watataja vitu kama; njaa, kutaka kunyonya, kukataa kunyonyeshwa, kwamba ameshiba (wakati wa kulishwa) maumivu, usingizi, joto, baridi, kutaka...