1. Mpaka leo kungekuwa hakuna vitabu wala maandiko, kila kitu ni kwa kuongea.
2. Mpaka leo kupaa angani ingeaminika ni kwa wachawi
3. Kutuma ujumbe wa mbali zingetumika yowe ama kumtuma kijana mwenye mbio asafiri
4. Vita zingeendelea kuwa za ana kwa ana, Mapanga, visu, mateke, ngumi