Kwa ujumla mimi siendagi Kariakoo
Siyo sehemu salama, watu ni wengi sana, hakuna parking and kuna high level of noise pollution
Ukiacha hayo matatizo madogo madogo, magorofa mengi yaliyojengwa ni ya mchongo, huwa wanaweka load kubwa sana huko magorofani.
Kuna uwezekano mkubwa sana magorofa...