hati miliki ardhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wizara ya Ardhi

    Dar: Wizara ya Ardhi yatoa Hati Miliki 1,134 katika maonesho ya Sabasaba

    Hati za umiliki wa ardhi 1,134 zatolewa Sabasaba 2024 Wananchi wa Dar es Salaam, Dodoma na Pwani wafurika kupata hati zao. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetumia fursa ya Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam kuandaa, kusajili na kutoa Hatimiliki kwa...
  2. D

    Mwongozo wa utoaji ardhi kwa raia- ardhi isiyomilikiwa kiasili

    (fungu la 24 - 30) UTANGULIZI Mwongozo huu wa umiliki kwa ajili ya raia wa Tanzania unatokana na fungu la 24 - 30 la sheria ya ardhi Na. 4 ya mwaka 1999. Aidha, ardhi inayoombewa milki inaweza kuwa kwenye mojawapo ya makundi yafuatayo kwa maeneo ya mijini hapa Tanzania. Ardhi inayotolewa...
  3. M

    Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa Hati Miliki za Ardhi, hali ipoje huko kwenu?

    Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani. Wapo wananchi ambao wamemaliza kulipia viwanja vyao kwa takribani miaka minne sasa, lakini hadi sasa hawajapatiwa...
Back
Top Bottom